Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8533 results for Mwandishi Wetu :

  1. PRIME Utajiri wa nchi unavyohamishwa kupitia vivutio kwa wawekezaji

    Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa bungeni na Wizara ya Fedha, Septemba 2023, hadi Juni 30, 2023, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hadi wakati huo ilikuwa imesajili jumla ya walipakodi takribani...

  2. Watanzania kushirikishwa mageuzi ya teknolojia

    Ili kuendana na mageuzi ya teknolojia hasa ya vifaa vya kisasa vya kielektroniki wadau sekta hiyo wamewahakikishia Watanzania kwa kutoa bidhaa salama, zenye ubora wa hali ya juu na ubunifu wa...

  3. Luhemeja atoa wito utunzaji mazingira, kuchangamkia fursa

    Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais- Muungano na Mazingira, Cyprian Luhemeja amesema mazingira ni suala mtambuka, hivyo amewashauri mabalozi wa mazingira kutumia fursa zilizopo kupanua wigo wa...

  4. PRIME Umuhimu wa mabadiliko madogo ya Katiba kabla ya uchaguzi mkuu

    Katika mjadala wa kisiasa wa sasa nchini Tanzania, dhana ya "mabadiliko madogo ya Katiba," imezua mjadala mkubwa, hasa baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kuibua kauli mbiu ya...

  5. PRIME Tume ya uchaguzi ifafanue utata uliopo

    Kwa hali ilivyo sasa na kwa kuwa hakuna dalili zozote za mabadiliko, watu wa Zanzibar wanaelekea kushiriki uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu katika mazingira yanayofanana kwa kiasi...

  6. PRIME NIKWAMBIE MAMA: Viongozi wabovu sasa iwe mwisho

    Sikatai kwamba Mfalme anaweza kutoa maamuzi magumu kwa makusudi ili aone mapokezi ya upande wa pili. Suleiman aliamuru mtoto aliyegombaniwa na mama wawili akatwe katikati, na kila mama achukue...

  7. Wauzaji vileo makazi ya watu watimuliwa, wapewa siku 17 kuhama

    Uongozi wa Serikali ya Mtaa wa Kisunga, Kata ya Mabatini jijiji Mbeya umefanya operesheni maeneo yanayotajwa kuuzwa pombe haramu ya gongo na kutoa onyo kwa wauzaji wa vileo katika makazi ya watu...

  8. Rais wa Namibia awasili nchini kwa ziara ya siku mbili

    Rais wa Jamhuri ya Namibia, Dk Netumbo Nandi-Ndaitwah amewasili nchini leo Mei 20, 2025 kwa ajili ya kuanza ziara rasmi ya siku mbili.

  9. Mpanda kicheko, umeme gridi ya Taifa kuwafikia Juni

    Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Kusafirisha na Kusambaza Umeme (ETDCO), Raymond Mbilinyi amesema mpaka kufikia mwisho mwa Juni mwaka huu...

  10. Rais Samia kuzindua Daraja la JP Magufuli Juni 19

    Ulega amesema kukamilika kwa daraja hilo ni mafanikio ya maono na jitihada kubwa zilizofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan na mtangulizi wake, hayati John Magufuli.

Previous

Page 2 of 854

Next