Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

266 results for Peter Saramba :

  1. Serikali ilivyopangua ‘dili’ utoroshaji almasi ya Sh1.7 bilioni usiku

    ‘’Serikali ina mkono mrefu’’ Huo ndio usemi unaofaa kutumika kueleza jinsi Serikali inavyong’ámua na kudhibiti mbinu kutorosha madini nje ya nchi.

  2. PRIME Yanayotokea ni kukiua, kukiimarisha Chadema?

    Msimamo huo unakinzana na ule wa chama kudai kwanza mabadiliko ya sheria na mfumo wa uchaguzi kupitia kampeni yenye kaulimbiu ya ‘No reforms, No election.’

  3. Chadema walivyohitimisha No reforms, no election kanda ya ziwa

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehitimisha operesheni ya No reforms, no election ‘bila mabadiliko hakuna uchaguzi’ katika kanda za Victoria na Serengeti kikiwahimiza wananchi...

  4. PRIME Mambo sita yaisubiri Kamati Kuu Chadema

    Kikao hicho kitafanyika katika kipindi ambacho misukosuko inayoikumba Chadema, suala kujivua uanachama huenda likatawala kutoka historia ya tangu kuanzishwa kwa chama hicho, haijawahi kutoka...

  5. Chadema yaitisha Kamati Kuu Mei 21, Baraza Kuu lanukia

    Tangu kumalizika kwa mkutano mkuu wa uchaguzi wa chama hicho, Januari 22, 2025 na Lissu kuibuka mshindi wa uenyekiti dhidi ya Freeman Mbowe aliyekuwa anatetea nafasi hiyo aliyoishika kwa miaka...

  6. Chadema yamtumia mke wa Lissu kisa Golugwa kuzuiwa IDU

    Amesema Serikali ya CCM inaogopa mabadiliko kwa sababu itaondoa mianya inayotumika kuwaengua wagombea kupitia vyama vya upinzani.

  7. Heche atumia Simba, Yanga kunadi 'No reforms, no election' Shinyanga

    Amedai haiba ya CCM mbele ya umma imeshuka, ndio maana inahofia mabadiliko ikijua Watanzania watainyima kura na kuiondoa madarakani iwapo uchaguzi utakuwa huru na haki.

  8. Mnyika: Chadema hatuna timu Mbowe wala timu Lissu

    Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Mnyika amesema makundi yote yaliyoundwa kuunga mkono wagombea wakati wa uchaguzi wa ndani wa chama hicho yalivunjwa baada ya...

  9. Chadema yaishukia Chauma, Hashimu Rungwe akitupia ‘bomu’

    Viongozi wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema), wametegua kitendawili cha chama gani watajiunga nacho wanachama na makada wa chama hicho wanaojivua uanachama.

  10. Heche: Hatutaogopa vitisho vya kesi, jela  kudai mabadiliko

    “Hakuna kesi, vitisho, mahabusu ya polisi wala gereza itazuia kiu ya mabadiliko mioyoni mwa Watanzania," amesema Heche.

Previous

Page 2 of 27

Next