Search

236 results for Peter Saramba :

  1. ACT-Wazalendo kuwawekea mawakili waathirika wa kamchape

    Vitendo vya kamchape siyo tu huambatana na vurugu, bali pia wizi, uporaji, upotevu na uharibifu wa mali. Wakati mwingine vitendo hivyo husababisha vifo kama ilivyotokea Kijiji cha Kazuramimba.

  2. Zitto awang’ang’ania vigogo wa Serikali Kakonko kifo cha kijana Enos

    Kifo cha Enos ambaye enzi za uhai wake alikuwa akijishughulisha na kilimo na ujasiriamali alitoweka katika mazingira ya kutatanisha akiwa mikononi mwa maofisa wa Uhamiaji Wilaya ya Kasulu kabla...

  3. Zitto aomba Tume ya Rais kumaliza migogoro ya ardhi

    Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amemwomba Rais Samia Suluhu Hassan kuunda Tume maalum kushughulikia na kumaliza migogoro ya ardhi nchini.

  4. ACT-Wazalendo yajitwisha zigo ujenzi wa soko Kibondo

    Soko la Samaki linategemewa na wajasiriamali zaidi ya 300 wanaouza bidhaa mbalimbali ikiwemo mbogamboga, mazao ya samaki na nafaka. Awali eneo lilipo soko hilo lilitengwa kuwa eneo la wazi kabla...

  5. Zitto ataka timu ya Makamishina kuchunguza kifo tata Kokonko

    Kifo ha kijana Enos ambaye enzi za uhai wake alikuwa akijishughulisha na kilimo na ujasiriamali kimegubikwa na utata baada ya kutoweka kwa siku kadhaa kabla ya mwili wake kukutwa ukiwa umezikwa...

  6. Sh337 bilioni kujenga, kukarabati miundombinu ya barabara Kagera

    Tanroads Mkoa wa Kagera inasimamia mtandao wa barabara wenye jumla kilometa 1,966.29, kati ya hizo, kilimeta 861.55 ni barabara kuu wakati kilimeta 1,053.79 huku barabara za kilometa 50.95 ni za...

    New Content Item (1)
  7. PRIME Makada wa CCM katika vita ya kutaka uenyekiti

    Mbio za uchaguzi wa wenyeviti wa CCM katika mikoa mitatu ya Mbeya, Arusha na Mwanza, zimezidi kushika kasi huku vigogo wakitajwa kuchuana katika kinyang’anyiro hicho.

  8. Yasiyofahamika kwa wengi kuhusu daraja la JPM a.k.a Kigongo-Busisi

    Kwa Bara la Afrika, daraja la JPM ni la sita kwa urefu nyuma ya daraja refu kuliko zote barani Afrika lililopo nchini Misri linaloongoza kwa kuwa na urefu wa kilomita 20.5, ikifuatiwa na daraja...

  9. PRIME Fitina za kisiasa zinavyokwamisha maendeleo Bukoba

    Malalamiko ya kukwamishana kisiasa na kimaendeleo katika Manispaa ya Bukoba hayakuanzia kwa Mbunge Stephen Byabato pale alipomwaga chozi, ni suala la muda mrefu linaloelekea kuwa la kihistoria.

  10. PRIME Chozi la Naibu Waziri laiibua CCM

    Wakati mbunge wa Bukoba Mjini, Steven Byabato (CCM) akimwaga chozi jukwaani akidai baadhi ya watu wanamkwamisha jimboni kwake, uongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bukoba umemtaka...

Previous

Page 2 of 24

Next