Sh337 bilioni kujenga, kukarabati miundombinu ya barabara Kagera
Tanroads Mkoa wa Kagera inasimamia mtandao wa barabara wenye jumla kilometa 1,966.29, kati ya hizo, kilimeta 861.55 ni barabara kuu wakati kilimeta 1,053.79 huku barabara za kilometa 50.95 ni za...