Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

462 results for Saada Amir :

  1. PRIME Samia aeleza sababu kuendeleza Daraja JP Magufuli

    ​​​​​​​Rais Samia amesema hayo leo, Alhamisi Juni 19, 2025 alipohutubia wananchi wa Mkoa wa Mwanza na maeneo jirani katika hafla ya uzinduzi wa daraja hilo

  2. Ni rasmi sasa, Rais Samia azindua daraja la JPM

    Rais Samia Suluhu Hassan amezinduliwa daraja la JPM maarufu kama Kigongo-Busisi leo Juni 19, 2025 mkoani Mwanza.

  3. Samia asisitiza amani akizindua mradi wa maji Lamadi

    Rais Samia Suluhu Hassan, amewahimiza wakazi wa Lamadi kudumisha amani na utulivu ili kuiwezesha Serikali kuendelea kuwahudumia ipasavyo na kulisaidia Taifa, kusonga mbele katika kujitegemea...

  4. Maagizo manne ya Rais Samia Simiyu

    Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa maagizo manne muhimu mkoani Simiyu, likiwemo alilolielekeza Wizara ya Kilimo kuhakikisha kuwa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inafungua ofisi katika mikoa yote...

  5. Samia aweka jiwe la msingi shule 103 za amali, kiwanda cha pamba

    Rais Samia Suluhu Hassan ameweka jiwe la msingi katika Shule ya Sekondari ya Amali ya MwamaPalala, iliyoko katika Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu.

  6. PRIME Wasaka ubunge majimbo ya Mwanza wakoleza joto

    Hata hivyo, Mwananchi imezungumza na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mwanza, Michael Smart anasema chama hicho tawala kimejiandaa siyo tu kushinda uchaguzi, bali kuanzia kwenye uteuzi sahihi wa...

  7. Tume kukusanya data bidhaa za madini zinazoingizwa nchini

    Amewaomba Watanzania wachangamkie fursa hiyo, akieleza kuwa endapo vifaa vya migodini vitaanza kuzalishwa nchini, manufaa yatakuwa makubwa kwa Taifa.

  8. Mifugo kutumika kupata mikopo

    Serikali imesema mpango wa utambuzi na chanjo ya mifugo, unalenga kudhibiti wizi na kuongeza thamani ya mifugo nchini.

  9. Rais Samia aagiza usimamizi ulipaji kodi, atahadharisha misaada ya wahisani

    Rais Samia amesema hivi sasa Serikali imepeleka huduma mbalimbali zikiwemo za maji, afya na umeme kwa fedha za ndani huku akieleza kwamba hata kama imekopa, ina uwezo wa kulipa.

  10. Serikali kujenga shule maalumu ya wavulana Kanda ya Ziwa

    Akizungumza leo, Jumatatu Juni 16, 2025, mara baada ya kuzindua Shule ya Wasichana ya Mkoa wa Simiyu, Rais Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali haitabagua jinsia katika uwekezaji wa elimu ya...

Previous

Page 2 of 47

Next