Serikali ya Tanzania kufuta leseni za utafiti wa madini zisizofanyiwa kazi Mbunge wa Kishapu (CCM), Boniphace Butondo amehoji sababu za ongezeko la leseni za utafiti na hasa katika maeneo ya madini nchini na zimekuwa zikitolewa kwa wageni
Sheria za makosa ya unyanyasaji wa kijinsia kupitiwa Mbunge wa viti maalumu, Tunza Malapo amesema matukio ya unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto, wanawake na makundi mengine yamekithiri sana
Mdee, Naibu Waziri wachuana bungeni Utaratibu wa urejeshaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri umeibua mjadala kati ya Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa...
PRIME Wabunge wakomalia kikokotoo, mwalimu amtwisha zigo Kinana Wakati Serikali ya Tanzania ikisema imesikia kilio cha kanuni mpya ya kikokotoo cha mafao ya wastaafu, wabunge wameendeleza moto bungeni wakiitaka ichukue hatua za haraka.
Lusinde awashukia bungeni wanaomtusi Rais Samia mitandaoni Asema kuna wachambuzi wengine wanalalamika kwa nini Rais Samia anatajwa sana, lakini soka huwa wanaotajwa sana ni wale wenye kumiliki mpira.
Sababu ATCL kutopeleka ndege Pemba Kwa kutumia ndege ndogo safari za Pemba zinatarajiwa kuanza Mei, 2024.
Serikali kupitia upya faini bajaji za mizigo Naibu waziri asema rasimu ya mapendekezo ipo katika hatua za majadiliano ya wadau.
Zungu ataka Takukuru ichunguze wanufaika Tasaf Serikali yasema imesikia na italifanyia kazi suala hilo huku ikiendelea kufanya maboresho ili kuhakikisha manufaa makubwa yanaendelea kuwakwamua wasiojiweza.
Dk Biteko atangaza mgawo wa umeme kumalizika Tanzania Amesema kulikuwa na mgawo wa umeme nchini, lakini sasa haupo kwa sababu kuna umeme wa kutosha.
Mbunge Sitta apaza sauti malipo ya mafao ya wastaafu “Kwa mfano mimi hapa mezani kwangu nina orodha ya walimu 53 ambao wamehenya wakitumikia shule za sekondari, msingi, Wizara ya Elimu sasa hivi wanahangaikia mafao yao,” amesema mbunge Sitta.