Search

1354 results for Sharon Sauwa :

  1. Wakutana kujadili mapendekezo ya kikosi kazi

    Makundi mbalimbali ya jamii yamekutana mkoani Kagera kujadili mapendekezo ya kikosi kazi kilichoundwa Rais Samia Suluhu Hassan kuratibu maoni ya wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa...

  2. Tanzania na Cuba kushirikiana kupitia elimu ya juu

    Tanzania imezindua ubalozi wake jijini Havana, nchini Cuba na kusaini hati ya makubaliano ya kushirikiana kupitia elimu ya juu.

  3. Mkenda aonya wezi wa mitihani

    Wakati wanafunzi wa darasa la saba wakianza mitihani yao ya kumaliza darasa la saba leo, Waziri wa Elimu, Serikali imetoa onyo kwa wezi wa mitihani kutojihusisha na vitendo hivyo kuepuka...

  4. Biteko aanza utekelezaji agizo la Majaliwa

    Majaliwa alitoa agizo hilo, Septemba 7, 2023, wakati akijibu swali la Mbunge wa Mlalo (CCM), Rashid Shangazi aliyehoji Serikali inaweka mkakati gani wa kuhakikisha upatikanaji wa mafuta unakuwa...

  5. Mavunde atoa siku 30 taasisi ya GST

    Waziri wa Madini, Antony Mavunde ameipa siku 30, Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuandika andiko la kuomba fedha katika Wizara ya Fedha ili pamoja na mambo mengine iweze...

  6. PRIME Wasimamizi wa mirathi kuwekewa kibano

    Serikali imewasilisha bungeni mapendekezo ya kuwabana wasimamizi wa mirathi kwa kuwataka kuwasilisha mahakamani hesabu na orodha ya mali za marehemu, pale wanapoondolewa kwenye jukumu la usimamizi.

  7. PRIME Wenza wa Rais, Makamu, Waziri Mkuu kulipwa

    Serikali imepeleka bungeni muswada wa marekebisho ya Sheria mbalimbali namba 4, 2023 ambayo ndani yake una marekebisho mapya ya mafao kwa ajili ya wenza wa viongozi wastaafu na waliokufa ambao ni...

  8. Waliopa ufadhili DTP watakiwa kuepuka kurejeshwa kwa aibu

    Watumishi wa umma 500 wamepata ufadhili wa mafunzo ya muda mrefu na mfupi chini ya Mradi wa Tanzania ya Kidigitali (DTP) ambapo awamu ya kwanza inawahusisha watumishi 20.

  9. Wabunge wacharuka mfumo uagizaji mafuta

    Wakati wabunge wakitaka hatua zichukuliwe ili kukabiliana na uhaba wa mafuta nchini, Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ametaka Serikali ifanye tathimini ya mfumo mpya wa uagizaji mafuta.

  10. Serikali yawafunda vijana

    Serikali imewataka vijana wote kufanya kazi kwa uaminifu na uadilifu ili kujiepusha na athari za kuwa kwenye kumbukumbu mbaya za utumishi wao (blacklisted), hali ambayo inaweza kukwamisha...

Previous

Page 2 of 136

Next