Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

2079 results for Sharon Sauwa :

  1. PRIME Wizara nne kupambania bajeti zao

    Wizara nne zitaingia kwenye mjadala wa makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2025/26, huku utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014, Toleo la mwaka 2023 ukitarajiwa kuteka...

  2. Wabunge wataka sera, sheria ya akili mnemba

    Dodoma. Wabunge wameibua hoja ya umuhimu wa kuwa na sera na sheria mahususi zitakazosimamia matumizi ya akili mnemba (Artificial Intelligence - AI), wakisema teknolojia hiyo mpya ina faida...

  3. Suluhisho takwimu sahihi za maji ardhini lapatikana

    Dodoma. Wizara ya Maji imenunua vifaa vya kisasa vya kuchunguza miamba inayohifadhi maji katika kina kirefu, hatua ambayo itaondoa changamoto ya kutopatikana kwa takwimu sahihi zinazohusu kiasi...

  4. Jinsi Bunge lilivyopitisha bajeti Wizara ya Maji

    Katika mwaka 2024/25 Bunge liliidhinisha Sh627.78 bilioni kwa ajili ya Wizara ya Maji, Sh558.11 bilioni zikienda katika miradi ya maendeleo.

  5. Faida nne za cheti cha ISO kwa maabara ya chai

    Dodoma. Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gelard Mweli ameeleza faida nne muhimu zilizopatikana mara baada ya Taasisi ya Utafiti wa Chai Tanzania (TRIT) kupata cheti cha Ithibati ya Ubora wa...

  6. Wabunge walia na madeni ya makandarasi, bili za maji

    Kilio cha taasisi za umma kulimbikiza madeni ya huduma za maji na madai ya makandarasi kimezua mjadala bungeni wakati wa kujadili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa...

  7. Wabunge wapinga maazimio ya Bunge la Umoja wa Ulaya dhidi ya Serikali ya Tanzania

    Wabunge wameonyesha kusikitishwa na kushangazwa na maazimio sita yaliyotolewa na Bunge la Umoja wa Ulaya dhidi ya Serikali ya Tanzania, wakisema hatua hiyo ni dhihaka kwa mamlaka ya kitaifa na...

  8. Hivi ndivyo trilioni moja za Wizara ya Maji zitakavyotumika

    Bunge limeombwa kuidhinishia Sh1.01 trilioni kwa ajili ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha 2025/26, huku vipaumbele sita vikiainishwa, kikiwemo cha utekelezaji wa miradi ya maji 1,544...

  9. Bajeti ya Habari kutoa msaada wa vifaa kwa waandishi wa habari

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amesema kuwa kuanzia mwaka wa fedha 2025/26, Mfuko wa Mafunzo kwa waandishi wa habari utaanza kutoa msaada wa vifaa vya...

  10. Chombo cha kusimamia miundombinu ya michezo kuanzishwa

    Serikali imeanza mchakato wa kuanzisha chombo maalumu cha usimamizi wa miundombinu ya michezo katika kukabiliana na changamoto za uendeshaji na matunzo yake.

Previous

Page 2 of 208

Next