Wahamasishwa usafi wa fukwe, ufanyaji mazoezi Wale wenye tabia ya kwenda ufukweni kisha kutupa taka wametakiwa kuacha tabia hiyo kwani inachafua mazingira kwa ujumla.
Mapendekezo ya wataalamu kuokoa afya ya jamii Kutokana na milipuko ya magonjwa na majanga yanayoathiri sekta ya afya kuendelea kujitokeza maeneo mbalimbali duniani, wataalamu katika sekta hiyo wamekuja na mapendekezo yatakayoonesha njia za...
Serikali kuongeza nguvu mapambano ya dengue, chikungunya Serikali kupitia Wizara ya Afya imetangaza kuongeza nguvu katika ufuatiliaji wa magonjwa ya dengue na chikungunya kupitia mradi wa miaka mitano wa uwezeshaji wa wataalamu wa maabara na vituo...
Majaliwa ataka tafiti za afya zenye tija atahadharisha ulaji chipsi, soda Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametaka watafiti katika sekta ya afya, wataalamu na wapangaji wa sera kuwekeza kwenye tafiti zenye tija kwa Watanzania ili matokeo yake yafanye kazi...
‘Akili Mnemba haikwepeki hatuna budi kuishi nayo’ Matumizi ya Akili Mnemba (AI) yametajwa kutokwepeka katika elimu, afya, uchumi hata uvumbuzi hivyo imepaswa kuitumia teknolojia hiyo iliyoshika kasi ili kukuza maendeleo ya Tanzania na bara la...
Ulinzi waimarishwa, maombi yafanyika mahakamani kesi ya Lissu Kesi hizo ambazo zinasikilizwa na mahakimu wawili tofauti zote zimepangwa kuendelea leo Jumatatu, Juni 16, 2025 lakini katika hatua tofautitofauti.
PRIME Saa saba hekaheka polisi, waumini wa Askofu Gwajima, mabomu yakirindima Wakati Serikali ikitangaza kulifuta Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church, waumini wa kanisa hilo wamejitokeza kando ya nyumba hiyo ya ibada wakitaka kuingia kusali.
Mapya kifo cha Lungu, aacha ujumbe mzito kwa Rais Hichilema Lungu alifariki dunia akiwa na umri wa miaka 68, kwa ugonjwa ambao haukutajwa. Rais huyo wa zamani aliiongoza Zambia kwa miaka sita kuanzia mwaka 2015 na kushindwa katika uchaguzi ambao wananchi...
Waliopata mafunzo ya ulinzi wa amani wafunguka Raia wa Watanzania waliopata mafunzo ya ulinzi wa amani yaliyotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Ulinzi wa Amani Tanzania (TPTC) kwa muda wa wiki moja wamesema mafunzo hayo yamewajenga darasani na...
Wapendekeza ujumuishaji jinsia, afya ya uzazi kukabiliana mabadiliko ya tabianchi Wakati Serikali ikiandaa mpango mkakati wa tatu wa Mchango wa Taifa wa Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi (NDC 3.0), wadau wamependekeza ujumuishaji wa masuala ya jinsia na afya ya uzazi...