Mwili wa mgombea ubunge CUF aliyeuawa kuzikwa Oktoba 11 Kigoma
Mwili wa aliyekuwa mgombea ubunge wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro, Daudi Ntuyehabi, unatarajiwa kusafirishwa kesho, Oktoba 10, 2025, kuelekea kijijini kwao...