PRIME Simulizi mgombea ubunge alivyouawa Siha Mgombea ubunge wa Jimbo la Siha kupitia Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Kilimanjaro, Daudi Ntuyehabi, ameuawa na wananchi baada ya kudaiwa kumjeruhi kwa kisu mwenzake, Abdul Mohamed, wakati...
Kunambi: Wanawake tusitishwe, tujitokeze kwa wingi kupiga kura Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT), Suzan Kunambi amewataka wanawake nchini kutoogopa vitisho vinavyotolewa na baadhi ya watu kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, mwaka...
INEC yasitisha kampeni kifo cha mgombea ubunge wa CUF Siha Kutokana na kifo cha aliyekuwa mgombea wa ubunge wa Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Daudi Ntuyehabi, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesitisha shughuli...
Simulizi ya familia ya mgombea ubunge CUF aliyeuawa Familia ya mgombea ubunge kupitia Chama cha Wananchi (CUF) katika Jimbo la Siha, Daudi Ntuyehabi, ambaye amefariki baada ya kushambuliwa na kundi la watu zaidi ya wanane, imeeleza ilivyopokea...
Mgombea ubunge CUF auawa, wanane washikiliwa wakituhumiwa kuhusika Mgombea ubunge wa Jimbo la Siha, kupitia Chama cha Wananchi (CUF) mkoani Kilimanjaro, Daudi Ntuyehabi ameuawa na wananchi baada ya kudaiwa kumchoma mwenzake kisu, Abdul Mohamed wakati akiamua...
Wawili wafariki kwa kuzama maji mkoani Kilimanjaro Watu wawili wamefariki dunia katika matukio mawili tofauti baada ya kuzama kwenye mito ya Kifaru na Mamba, mkoani Kilimanjaro wakati wakijaribu kuvuka pembezoni mwa mito hiyo.
DC Rombo: Watafiti chunguzeni uhusiano wa kahawa, maisha marefu Mkuu wa Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangwala ametoa wito kwa watafiti nchini kufanya utafiti wa kisayansi kuhusu uhusiano uliopo kati ya matumizi ya kahawa na umri wa kuishi kwa...
Bweni lingine lateketea kwa moto Kilimanjaro, wanafunzi zaidi ya 90 wanusurika Zaidi ya wanafunzi 90 wa Shule ya Sekondari Mkuu iliyopo Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamenusurika kuungua baada ya bweni walilokuwa wakilala kuteketea kwa moto leo Oktoba 6, 2025 wakati...
Wanafunzi wa sekondari Moshi wabuni mbinu za kukabiliana na uharibifu wa mazingira Wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ufundi Moshi (Moshi Technical) mkoani Kilimanjaro, wamebuni njia mbadala ya kukabiliana na uharibifu wa mazingira kwa kutumia taka za plastiki shuleni hapo...
Mrajisi wa ushirika ahimiza ubunifu masoko ya kahawa, uzalishaji Mrajisi wa vyama vya ushirika nchini, Dk Benson Ndiege amewataka wadau wa sekta ya kahawa nchini kuongeza ubunifu katika eneo la masoko ili kuongeza thamani na matumizi ya kahawa ya Tanzania...