Search

76 results for Mary Mwaisenye :

  1. Majeruhi ajali ya basi Chunya waeleza chanzo

    Ajali hiyo imetokea leo Jumatano Desemba 7, 2022 nakusababisha kifo cha mtu mmoja huku wengine wanne wakijeruhiwa.

  2. Bwana harusi, wazazi wa binti wahukumiwa kuandaa harusi ‘haramu’

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya imewahukumu wazazi pamoja na aliyekuwa msaidizi wa bwana harusi kifungo cha mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh1,000,000 kwa kosa la kutaka...

  3. Wakulima Mbeya walia uhaba mbolea ya ruzuku

    Wakulima wa Tarafa ya Kiwanja, Halmashauri ya Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya wamelalamikia uhaba wa mbolea na pembejeo za ruzuku.

  4. RC Mbeya atoa maagizo utoroshaji madini

    Mkuu wa Mkoa wa Mbeya (RC), Juma Homera amekemea tabia ya wachimbaji wa madini ya dhahabu mkoa wa Mbeya kutorosha na kuuza madini yao nje ya nchi, akidai hali hiyo inapoteza mapato ya Serikali.

  5. DC Chunya amsimamisha kazi mwenyekiti wa kijiji

    Mwenyekiti wa Kijiji asimamishwa kazi kwa tuhuma za kuuza shamba la kijiji hekta 881 bila kufuata utaratibu wa kijiji.

  6. Baba wa mtoto anayedaiwa kulawitiwa na muuguzi afunguka

    Kesi hiyo ya muuguzi anayedaiwa kumlawiti mtoto ilianza kusikilizwa jana, ambapo imedaiwa kuwa mtoto huyo alipatwa na mkasa huo alipokwenda kutibiwa.

  7. Muuguzi kizimbani kwa kumlawiti msichana hospitalini

    Muuguzi wa Zahanati ya Saint Theresia wilayani hapa, Joseph Kiungi (25) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya akituhumiwa kumlawiti binti wa kidato cha pili...

  8. Tanesco kuanza uzalishaji umeme ziwa Ngosi

    Kampuni tanzu ya kuzalisha umeme ya Tanesco ya uendelezaji joto nchini (TGDC) itaanza kuzalisha umeme Novemba 2022 kutoka kwenye chanzo kilichopo ziwa Ngosi lililopo wilayani Rungwe mkoani Mbeya.

  9. Walimu watoa ya moyoni mwongozo wa elimu Chunya

    Walimu wa Halmashauri ya Wilaya Chunya mkoani Mbeya wamesema uwepo wa miongozo ya elimu iliyozinduliwa na Serikali hivi karibuni itasaidia kuboresha elimu ya msingi na sekondari kutokana na...

  10. Umbali wa kaya changamoto uhesabuji watu Chunya

    Umbali wa kaya kwenye maeneo yanayokaliwa ya jamii ya wafugaji unachangia kasi kuwa ngodo ya uandikishaji kwa makarani wa Sensa ya Watu na Makazi katika Halmshauri ya Wilaya ya Chunya mkoani Mbeya.

Previous

Page 3 of 8

Next