Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

727 results for Mohamed Hamad :

  1. PRIME 'Kama la ugaidi liliwezekana, kwa nini la uhaini lisiwezekane'

    Nianze kwa kueleza kuhusu makosa mawili makubwa kabisa katika Katiba yetu, kosa la kuua na kosa la uhaini, ambayo yote hupewa adhabu ya kifo, yaani capital punishment.

  2. ‘Wazanzibari endeleeni kudumisha mshikamano’

    Wakati viongozi na watendaji wakitakiwa kumuenzi hayati Abeid Aman Karume kwa kuendeleza maono yake kwa kutenda haki bila ubaguzi, wananchi wametakiwa kudumisha amani, upendo na mshikamano ili...

  3. Afrika Kusini yatoa mshindi wa Sh30 milioni mashindano ya Quran

    Wakati yakifanyika mashindano ya kuhifadhi Quran kwa Afrika, Mohamed Amejair (23) kutoka Afrika Kusini ameibuka kidedea na kujinyakulia kitita cha Sh30 milioni, huku Rais Hussein Mwinyi...

  4. Changamoto sita za kimazingira Zanzibar, wadau wapendekeza hatua za kuchukua

    Zanzibar inakabiliwa na changamoto za kimazingira, ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa kina cha bahari, uvamizi wa maji ya chumvi, mmomonyoko wa fukwe, na hali mbaya ya hewa.

  5. Makamu wa Rais asisitiza elimu biashara ya kaboni

    Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango amehimiza kutolewa kwa elimu ya biashara ya hewa ukaa (kaboni) ili wadau muhimu kwenye biashara hiyo wawe na uelewa utakaochochea ukuaji wa uchumi.

  6. Shamba la mikarafuu lateketea kwa moto Pemba

    Kwa mujibu wa taarifa mkarafuu mmoja unatoa wastani wa kilo 15 za karafuu. Kwa mikarafuu 50 ni takriban kilo 750 za karafuu zenye thamani ya Sh11.2 milioni.

  7. SMZ kutoa kipaumbele ajira kwa wenye ulemavu

    Katika kulijali kundi hilo, Serikali imejenga shule mbili za bweni kwa ajili ya watu wenye ulemavu katika kuwaendeleza kielimu.

  8. Rekodi zinazotikisa Ligi Kuu

    Ni weka niweke katika Ligi Kuu Bara baada ya kubakisha michezo 10 hadi tisa kwa baadhi ya timu kumalizika kwa msimu huu, huku ushindani ukitikisa kwa vigogo wanaowania ubingwa, nafasi nne za juu...

    New Content Item (3)
  9. PRIME Simba imejipanga eneo hili, ukijichanganya inakula kwako!

    Kuweni makini! Ndivyo unavyoweza kusema kwa timu pinzani pale zinaposhuka uwanjani kucheza na Simba, kwani zikijichanganya kidogo tu zijue mapema inakula kwao mapema.

    Simba Pict
  10. PRIME CCM inavyopenya Pemba, ngome ya upinzani Zanzibar

    Kwa muda mrefu Kisiwa cha Pemba kimekuwa ngome ya upinzani, tangu uchaguzi wa kwanza baada ya mfumo wa vyama vingi kurejeshwa mwaka 1995, kisiwa hicho kilikuwa ngome ya Chama cha Wananchi (CUF).

Previous

Page 3 of 73

Next