LIVE: Tazama kimbunga Hidaya kinavyoikaribia Tanzania Kupitia tovuti ya Zoom Earth, Mwananchi Digital imewekea ‘link’ ya kutazama mubashara kimbunga hicho.
Gamondi hajapoa, amuulizia Fabrice Ngoma Simba msimu huu imekuwa na kiwango ambacho hakiwafurahishi mashabiki wake lakini kuna wachezaji ambao wamekuwa vipenzi vya mashabiki na wanaamini kama wataendelea kuwepo, miamba hiyo ya Ligi Kuu...
Uhuru wa habari ni wajibu wa kila mdau Leo ni Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo huadhimishwa Mei 3, kila mwaka. Katika siku hii, wadau wanapata nafasi ya kutafakari umuhimu wa tasnia ya habari katika kuchochea uhuru...
TMA: Kimbunga Hidaya kinaendelea kusogea, kuimarika Kinatazamiwa kusababisha vipindi vya mvua kubwa na upepo mkali katika baadhi ya maeneo ya mikoa ya Mtwara, Lindi, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Dar es Salaam, Tanga, Morogoro, visiwa vya...
Licha ya ongezeko la fedha, mambo bado Wizara ya Kilimo Wizara ya Kilimo imeliomba Bunge kuidhinisha Sh1.248 trilioni zitakazotumika kwenye vipaumbele sita vyenye mikakati 27 katika mwaka wa fedha wa 2024/2025
Rais Ruto amteua Kahariri kuwa CDF Kenya Mabadiliko hayo na uteuzi huo wa CDF umeidhinishwa kwenye mkutano wa Baraza la Idara ya Ulinzi chini ya uenyekiti wa Waziri wa Ulinzi Aden Duale.
Kanuni kurekebishwa kuwezesha NFRA kununua, kuhifadhi sukari Ili kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa sukari, Wizara ya Kilimo ilitangaza bei elekezi ya sukari nchi nzima kupitia Gazeti la Serikali Na. 3. Toleo la 105 la Januari 23, 2024
Wahamasishwa kukopa bodaboda na bajaji kujikwamua kiuchumi Hivi sasa hata maeneo ya pembezoni wananchi wana mwamko wa kutumia usafiri ama wa pikipiki au bajaji tofauti na zamani vijijini walikuwa wanatembea umbali mrefu kwa miguu. Hivyo kijana akimiliki...
PRIME Sababu kwa nini Mgunda anatosha Simba Mashabiki wa Simba wamepata mzuka upya wakiwa na matumaini makubwa kwa kocha wa timu hiyo Juma Mgunda ambaye anasaidiana na Selemani Matola. Mgunda ambaye alikuwa timu ya Wanawake Simba Queens...
Mgunda aanza na sare Simba KAIMU Kocha Mkuu wa Simba SC, Juma Mgunda, ameanza majukumu yake ndani ya kikosi hicho kwa kuambulia sare katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo FC. Mchezo huo uliochezwa leo kwenye...