Search

1572 results for Sharon Sauwa :

  1. Mbunge ataka urudishwe utaratibu kuingia Zanzibar kwa pasipoti

    “Sasa hivi ukienda pale Zanzibar utakuta viwanja vimechukuliwa, miti imekatwa, kulikuwa na zao la mikarafuu haliko tena, imebakia Pemba nako linaenda kuisha, minazi hakuna sasa hivi tunaagiza...

  2. Sh1 bilioni zatengwa kukabiliana na athari za mafuriko Dar, Zanzibar

    Amesema lengo la mradi huo ni kuijengea jamii uwezo wa kuhimili athari za mafuriko, kwa kuwa na shughuli endelevu za kujipatia kipato na kuongeza usalama wa chakula katika maeneo yaliyoathiriwa...

  3. Serikali kuanzisha gridi ya Taifa ya maji 

    “Kwa sasa hatua iliyofikiwa ni ya kuajiri mtaalamu mshauri atakayefanya upembuzi yakinifu wa mpango huo anayetarajiwa kuajiriwa katika mwaka wa fedha 2024/25,”amesema.

  4. Ubovu wa miundombinu chanzo katikakatika ya umeme

    Baada ya Serikali kutangaza kuisha kwa mgawo wa umeme nchini, Mbunge wa Segerea, Bonnah Kamoli amehoji ni lini changamoto ya kukatikakatika umeme itaisha.

  5. Mbunge ataja mbinu kunusuru wanafunzi kuchezea kondomu

    Dk Mabula ameeleza kuwa wanafunzi wanachezea mipira hiyo wanapofika shuleni asubuhi, hivyo ukijengwa uzio utawanusuru na adha hiyo kwani dada poa hawataweza kuingia kwenye maeneo hayo.

  6. TIC yasajili miradi ya Sh305.7 trilioni ndani ya miaka 27

    Katika kipindi cha miaka 27 (1996 hadi 2023) tangu TIC ianze kuweka rekodi za miradi ya uwekezaji, jumla ya miradi 12,381 imesajiliwa

  7. Bashungwa ang’aka NCC na CRB kutokuwa na mabaraza ya wafanyakazi

    Ukosefu wa mabaraza ya wafanyakazi katika Baraza la Taifa la Ujenzi (NCC) na Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB), umemkera Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa na kutoa miezi miwili yaanzishwe

  8. Idadi ya wanawake wanaomiliki ardhi yaongezeka

    Haki za wanawake zimezingatiwa ipasavyo katika utoaji wa elimu na uhamasishaji wa umiliki wa ardhi

  9. Walimu wa Sayansi, Hisabati bado changamoto

    Upungufu wa walimu Sayansi na Hisabati ni zaidi ya nusu ya mahitaji ya kada hiyo

    New Content Item (1)
  10. Serikali yaongeza posho kwa wasimamizi wa uchaguzi

    Serikali imefanya maboresho kwa kuongeza viwango vya posho za wasimamizi wa uchaguzi na wasaidizi wao kupitia Waraka wa Utumishi wa Umma uliotolewa Mei 24, 2022.

    New Content Item (1)
Previous

Page 3 of 158

Next