Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

2150 results for Sharon Sauwa :

  1. Maeneo ya kipaumbele ya programu ya kizazi chenye usawa yatajwa

    Wakati Programu ya Kizazi chenye Usawa (GEF), ikiendelea kutekelezwa nchini, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Malumu imetaja maeneo manne yaliyopewa kipaumbele ikiwamo...

  2. Tahliso yapendekeza mageuzi ya malipo ya ada na masharti kwa wanafunzi wa veta

    Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (Tahliso), Geofrey Kiliba ameiomba Serikali kuweka utaratibu mpya wa kulipa ada mara mbili kwa muhula hali itakayosaidia wanafunzi...

  3. Serikali kukagua wanaotumikisha watoto

    Serikali kufanya ukaguzi maalumu katika maeneo mbalimbali kwa ajili ya kuangalia changamoto ya utumikishaji wa watoto nchini.

  4. Mahakama yaitaka mechi ya Simba, Yanga

    Baada ya timu ya Mahakama kunyakua makombe 15, sasa inajipanga kuomba mechi ya kirafiki dhidi ya timu za Ligi Kuu hasa Yanga na Simba.

  5. PRIME Macho na masikio yako hapa bajeti ikisomwa leo

    Machi 11,2025, Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba aliwasilisha Mwelekeo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2025/26 huku ikionyesha ongezeko la asilimia 13, ikikua kutoka Sh50.29 trilioni katika...

  6. Rais Samia kufanya ziara mikoani, Msumbiji na Comoro

    Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara mikoa ya Simiyu na Mwanza pamoja na nchi za Msumbiji na Comoro.

  7. PRIME Kanuni za Bunge kuibana Serikali, wageni

    Zungu amesema kuanzia Bunge lijalo, wabunge watakuwa wanatoa ahadi ya uadilifu katika kila kikao cha kwanza cha mkutano wa Bunge, ambapo kila mbunge ataahidi kuwa mtiifu na mwaminifu kwa nchi...

  8. Serikali yajitenga na ishu ya dabi, yawaachia TFF

    Sakata la mchezo kati ya Simba na Yanga limeingia bungeni ambapo Serikali imesema haiwezi kuingilia kwa kuwa mchezo wa mpira una kanuni zake kitaifa na kimataifa.

  9. Mikopo kausha damu ilivyowazindua bodaboda Dodoma

    Mwenyekiti wa Chama cha Waendesha Bodaboda na Bajaji Mkoa wa Dodoma (Umapido), Chacha Marwa amesimulia jinsi mikopo umiza, kausha damu ilivyosababisha waanzishe Chama cha Kuweka na Kukopoa (Sacoss).

  10. PRIME Sheria ya NHC yawabana waajiri, adhabu zaongezwa

    Kifungu cha 16 cha sheria hiyo kimebadilishwa ili kuweka adhabu kwa kauli za uongo zitakazotolewa na mwombaji mkataba wa upangishaji na ushirikiano au huduma yoyote.

Previous

Page 3 of 215

Next