Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1434 results for Janeth Joseph :

  1. Mafuwe aahidi soko la kisasa kwa wafugaji wa Kia

    Hai. Mgombea ubunge wa Jimbo la Hai kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Saashisha Mafuwe, ameahidi kutumia ushawishi na mahusiano yake ndani ya Serikali kuhakikisha soko la mnada wa mifugo...

  2. 95 wapandikizwa mimba KCMC, daktari ataja sababu kutopata ujauzito

    Dk Tom Kakumbi wa Rufaa ya Kanda ya Kaskazini KCMC amesema baadhi ya changamoto zinazosababisha kutokupata ujauzito ni ubora au uchache wa mbegu za mwanaume, mirija ya uzazi kuziba kwa mwanamke...

  3. Simulizi ya Mwalimu John aliyekosa usingizi miezi nane kwa maumivu ya kifua

    Mwalimu Deus John (30), anayefundisha Shule ya Sekondari Uru, iliyopo Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, amesimulia masaibu aliyopitia ya kukosa usingizi kwa miezi nane kabla ya kuondolewa...

  4. Mahakama yabariki kifungo cha miaka 30 kwa waliohukumiwa kwa kuiba kaboni ya dhahabu

    Mahakama Kuu Kanda ya Musoma imebariki adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela kwa Maneno Chanila na Joseph Daud, waliokutwa na hatia ya kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha na kuiba kaboni ya...

  5. Majaliwa ataka magereza yote kutumia nishati safi kufikia 2027

    Majaliwa ameitaka sekta binafsi, kuhakikisha inaongeza ubunifu na kuweka teknolojia nafuu na salama ili wananchi waweze kupata nishati safi kwa bei nafuu.

  6. Aondolewa uvimbe wa kilo mbili kwenye pafu Hospitali ya KCMC

    Jopo la madaktari bingwa wa upasuaji kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC) limefanikiwa kuondoa uvimbe mkubwa wenye uzito wa kilo mbili kwenye pafu la kushoto la kijana mwenye...

  7. Chuo cha FDC chaonyesha faida za miaka minne ya kutumia nishati safi

    Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Mamtukuna (FDC) wilayani Rombo ni miongoni mwa taasisi zinazotekeleza mkakati wa Serikali wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, hatua inayolenga...

  8. Mweka kuwa kitovu cha mafunzo, urithi wa dunia Afrika

    Wakati Tanzania ikiendelea kuweka mikakati ya kurejesha mali kale zilizoondolewa nchini wakati na baada ya utawala wa kikoloni, Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori, Mweka kimeanzisha programu...

  9. 12 mbaroni tuhuma za kujeruhi, kupora Sh20 milioni Same

    Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia watu 12 kwa tuhuma za kumjeruhi na kumpora Sh20 milioni, mwenyekiti mstaafu wa Halmashauri ya Wilaya ya Same, Yusto Mapande.

  10. Watoa Sh4.6 bilioni kujenga shule ya wasichana Kijiji cha Terati

    Wadau wa elimu ndani na nje ya nchi kwa kushirikiana na Serikali, wametoa zaidi ya Sh4.6 bilioni kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari ya wasichana ya Tukuta katika Kijiji cha Terati...

Previous

Page 23 of 144

Next