Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

233 results for Sanjito Msafiri :

  1. Mmoja matatani akituhumiwa kusambaza ‘connection’ akihusisha na shule ya Baobab

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia mtu mmoja kwa tuhuma ya kusambaza video za utupu maarufu ‘connection’ zinazodaiwa kuwa za wanafunzi wa Shule ya Sekondari Baobab.

  2. PRIME Waiba gari, kichanga na kuwatumbukiza wazazi kwenye shimo la choo

    Watu ambao hawajafahamika wamevamia nyumbani kwa mkazi wa Kibaha kwa Mfipa Mkoa wa Pwani Melkisedeck Sostenes na kupora gari, pesa na vitu mbalimbali kisha kuwatumbukiza wamiliki wa nyumba kwenye...

  3. Majeruhi ajali ya Msoga waruhusiwa

    Ajali hiyo iliyotokea Januari 10, 2025 Kijiji cha Mazizi Mkoani Pwani inadaiwa kusababishwa na uzembe wa dereva wa Coaster aliyekuwa anaendesha gari huku akitumia simu.

  4. Gongo, wizi wa simu, pikipiki, dawa za kulevya, zawatia matatani 173 Pwani

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watu 173 kwa tuhuma mbalimbali za uhalifu ikiwemo usafirishaji wa nyara za Serikali, dawa za kulevya, wizi wa pikipiki na simu.

  5. Shehena nyingine ya mali za Tanesco, Dawasa na TRC yakamatwa

    Watu kadhaa wanashikiliwa na Polisi Mkoa wa Pwani wakituhumiwa kukutwa na mali mbalimbali za mashirika ya umma.

  6. PRIME Viongozi wa dini wasisitiza nguvu mpya 2025

    Tunasonga mbele, ndiyo ujumbe unaobeba nasaha za jumla za viongozi wa kiroho katika ibada za mkesha wa mwaka mpya 2025 na kusahau mabaya yaliyopita.

  7. Mchungaji Mpambichile ‘awachorea ramani’ waumini kufikia mafanikio 2025

    Mchungaji wa Kanisa Anglikana la Mtakatifu Gabriel, Kibaha Pwani, Exavia Mpambichile amewahamasisha waumini wake kuanza mwaka mpya wakiwa na malengo thabiti ya maendeleo, hasa katika sekta ya...

  8. Watumwa walivyoasisi Bwagamoyo, wakoloni wakaja na Bagamoyo

    Simulizi mbalimbali zinaonyesha kuwa mji huo ulikuwa ni kituo cha kusafirisha watumwa waliokuwa wakitoka mikoa mbalimbali na hata nchi jirani kueleka Ulaya kupitia Zanzibar.

    New Content Item (1)
  9. Watuhumiwa kesi ya uhujumu miundombinu ya SGR waongezewa shtaka

    Watuhumiwa watano wakiwamo raia wawili wa China wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu wa miundombinu ya treni ya kisasa (SGR), wameongezewa shtaka moja jipya.

  10. Wataalamu dawa za usingizi, ganzi kuanza kusajiliwa

    Baraza la Uuguzi na Ukunga nchini limeanzisha utaratibu wa kusajili wataalamu wa dawa za usingizi na ganzi, lengo likiwa kuwafahamu na kuwawezesha kutoa huduma bora kwa jamii.

Previous

Page 4 of 24

Next