Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1129 results for Hadija Jumanne :

  1. Mfanyabiashara kortini akidaiwa kutakatisha Sh10 bilioni

    Mfanyabiashara Bushra Ali amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka 13, yakiwemo kughushi nyaraka, kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na kutakatisha fedha...

  2. Jela miaka 20 kwa kukutwa na vipande vya meno ya tembo

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu, Pascal Daima (43) kutumikia kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kupatikana na hatia ya kukutwa na vipande viwili vya meno ya tembo vyenye thamani ya...

  3. UVCCM yawaita vijana kujiandikisha kupiga kura, kugombea

    Katibu Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Jesca Mshama amewataka vijana kuchangamkia fursa ya kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kuanzia ngazi ya udiwani...

  4. Kesi ya 'Bwana harusi' yachukua sura mpya

    Masawe katika kesi hiyo anakabiliwa na mashtaka mawili likiwemo wizi wa gari aliloazimwa kwa matumizi siku ya harusi yake.

  5. PRIME Serikali ilivyojibu hoja za Lissu kupinga kesi yake kusikilizwa mtandaoni

    Serikali imejibu hoja za mawakili wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tundu Lissu, kupinga kesi inayomkabili ya kuchapisha taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube...

  6. Hatima usikilizwaji kesi ya Lissu kujulikana Mei 6

    Baada ya kusomewa mashitaka hayo, mshtakiwa alikana kutenda na Serikali iliieleza Mahakama upelelezi wa kesi hiyo umeshakamilika na ukaomba Mahakama ipange tarehe kwa ajili ya usikilizwaji wa...

  7. Lissu, Jamhuri kuchuana tena leo kesi yake kuendeshwa mtandaoni

    Lissu alipandishwa kizimbani mahakamani hapo kwa mara ya kwanza na kusomewa mashitaka yanayomkabili katika kesi hiyo pamoja na kesi nyingine ya uhaini kwa mahakimu wawili tofauti, Aprili 10, 2025.

  8. PRIME Mwalimu kortini akidaiwa kughushi cheti cha ndoa, kuisababishia NHIF hasara

    Inadaiwa siku ya tukio, kwa nia ya kudanganya, Kyaruzi alitengeneza cheti cha ndoa na kuonyesha ameolewa na Hermenegild Moshi, kitu ambacho alijua kuwa ni uongo.

  9. Lissu, mawakili wake wapinga kesi kusikilizwa kwa njia ya mtandao

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha kwa muda kesi ya kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa Youtube inayomkabili Mwenyewe wa Chadema, Tundu Lissu.

  10. Upelelezi kesi ya Kinemo, anayedaiwa kutapeli Sh90 milioni wakamilika

    Upelelezi katika kesi ya kujipatia Sh90 milioni kwa njia ya udanganyifu inayomkabili Mashella Kinemo (34) umekamilika.

Previous

Page 5 of 113

Next