Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

847 results for Mgongo Kaitira :

  1. Pigo kwa Traore: Wanajeshi 200 wauawa Burkina Faso, al-Qaeda yatajwa

    Shambulio jingine kubwa lilitokea katika mji wa Sole nchini Burkina Faso, ambapo wapiganaji wa JNIM walivamia kituo cha jeshi na kuwaua wanajeshi.

  2. Jose Mujica: Kutoka mpiganaji aliyeasi hadi Rais aliyekufa maskini

    Ni nadra kukutana na mtu aliyeongoza mapigano ya msituni akajitokeza hadharani kupambana na mfumo uliopo madarakani kisha kuchaguliwa kuwa Rais wa nchi.

  3. Gachagua azindua chama chake, risasi zarindima

    Shughuli ya uzinduzi wa chama kipya kilichoanzishwa na aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, Rigathi Gachagua imeingia dosari baada ya watu ambao bado hawajajulikana kuvamia eneo ilipokuwa inafanyika...

  4. Rais Mujica anayetajwa kuwa maskini zaidi duniani afariki dunia

    Ni Rais wa ajabu ambaye alikataa kuhamia katika ikulu ya rais, ambaye alitoa asilimia 90 ya mshahara wake kwenda shirika la makazi ya kijamii, ni Rais ambaye alikuwa na magari mawili tu ya zamani.

  5. Zelensky adai Putin anamuogopa, ataja sababu

    ). Imeandikwa na Mgongo Kaitira kwa msaada wa mashirika ya habari.

  6. Papa Leo XIV afuata nyayo za watangulizi wake

    Papa Leo wa XIV alizaliwa Septemba 14, 1955 mjini Chicago, Illinois, Marekani ni mtoto wa mwisho katika familia ya watoto watatu, alichaguliwa katika wadhifa huo Mei 8, mwaka huu.

  7. Shahidi aieleza Mahakama P Diddy alivyomrekodi mpenzi wake akifanya mapenzi

    Mahakama jijini New York imeanza kusikiliza shauri linalomkabili msanii nchini Marekani, Sean Combs, maarufu P. Diddy lenye mashitaka matano ikiwemo la utumikishaji wa wanawake kingono.

  8. Alichozungumza Papa Leo XIV na Zelensky

    Katika mazungumzo hayo yaliyofanyika leo Jumatatu Mei 12, 2025, Papa Leo na Zelensky wamezungumzia mapendekezo ya usitishaji mapigano na malumbano kati yake na Rais wa Russia, Vladimir Putin.

  9. Mambo manne waliyojadili Kapteni Traoré, Putin Russia

    Baada ya gwaride la maadhimisho ya siku hiyo (Victory Day), Rais Putin alifanya mazungumzo na wawakilishi wa mataifa mbalimbali yaliyoshiriki, akiwemo Traoré, ambapo miongoni mwa mambo...

  10. Wacheza kamari walivyopiga mamilioni uchaguzi wa Papa

    Kardinali Prevost, ambaye hakutajwa sana katika mizunguko ya midahalo ya wachambuzi wa Vatican, ndiye aliyeibuka mshindi katika uchaguzi huo uliogubikwa na usiri mkubwa, na inaelezwa kuwa kuna...

Previous

Page 5 of 85

Next