Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1435 results for Janeth Joseph :

  1. Wenye ulemavu kukutana kujadili changamoto, fursa Kilimanjaro

    Wakati watu wenye ulemavu wakikumbana na changamoto za unyanyapaa katika baadhi ya familia, jamii imetakiwa kuwathamini, kuwasikiliza, na kutowafanya wapweke, bali kuwaonyesha upendo kama ilivyo...

  2. Bweni la Shule ya Wasichana Kaloleni laungua moto

    Mwalimu mkuu wa shule hiyo, Muhamed Migeto amesema vitu vilivyoathiriwa na moto huo ni vifaa vya wanafunzi vilivyokuwamo ndani yakiwamo mabegi na magodoro.

  3. Mvua iliyonyesha kwa dakika 45 yaacha kilio Moshi

    Mkuu wa Wilaya ya Moshi, Godfrey Mnzava, ametoa rai kwa wananchi wanaoishi maeneo hatarishi, kuchukua tahadhari kabla ya madhara makubwa hayajawafika.

  4. Waliofariki ajali  ya basi, Rav4 Moshi watambuliwa

    Dereva wa gari dogo aligongana uso kwa uso na basi la abiria la Esther lililokuwa likitokea Moshi kwenda Dar es salaam.

  5. VIDEO: Ajali basi la Esther, Rav4 yaua watatu Kilimanjaro

    Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na uokoaji mkoani Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amesema ajali hiyo imetokea eneo la Mdawi, Wilaya ya Moshi.

  6. Wafanyabiashara Soko la Samunge wagoma, wafunga barabara

    Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Joseph Mkude, amefika na kuwatuliza wafanyabiashara hao, akikiri eneo walilopewa halifai kwa biashara kutokana na uchafu.

  7. Takukuru wambana kiongozi aliyedaiwa kukwapua mamilioni ya Vicoba

    Taasisi Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kilimanjaro, imefanikiwa kurejesha zaidi ya Sh13.7 milioni za kikundi cha benki za jamii (Vicoba) cha Samaria, kilichopo Kijiji cha Holili...

  8. Watumishi wawili wa Bodi ya Maji wasimamishwa kazi Siha

    Watumishi wawili wa Bodi ya Maji Magadini Makiwaru, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za kuwaunganishia huduma ya maji wananchi 63 kinyume cha utaratibu.

  9. Rais Samia atengua watatu, yumo DC wa Arusha Mjini

    Utenguzi wa Mtahengerwa, unakuja miezi michache baada ya ugomvi wa mara kwa mara na Mbunge wa Arusha Mjini, Mrisho Gambo kwa kile kinachoelezwa wanagombana katika masuala ya kazi.

  10. Mambo manne kuboresha huduma Tanesco Kilimanjaro

    Akizungumzia wizi wa miundombinu ya umeme, Chacha amesema imekuwa ni changamoto kubwa na sasa wameanzisha operesheni kubwa na wale watakaobainika hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.

Previous

Page 43 of 144

Next