Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1435 results for Janeth Joseph :

  1. PRIME Aliyemuua mwenzake wakigombea maji, ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

    Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Shinyanga imemhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Nkwabi Joseph, baada ya kumkuta na hatia ya kumuua mwanakijiji mwenzake, Tungu Sabuni.

  2. Aliyefungwa kwa wizi wa waya waTanesco, aachiwa huru

    Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Mbeya imemuachia huru, Joseph Ngonyani, aliyetiwa hatiani kwa makosa matatu, ikiwemo wizi wa waya wa shaba mita 70 wenye thamani ya Sh1.54 milioni kutoka...

  3. Mama adaiwa kumnyonga mwanawe, kisa baba kumkana

    Neema Samweli (21), mkazi wa Wilaya ya Siha, Mkoa wa Kilimanjaro na mwenyeji wa Mkoa wa Mara, anatuhumiwa kumuua kwa kumnyonga mwanaye wa siku 21, Noela Samweli kwa madai ya ugumu wa maisha baada...

  4. TLSB kupeleka huduma za kidijitali Wilaya ya Rombo

    Hatua hiyo imekuja baada ya TLSB kufanya mabadiliko ya kidijitali ambayo yatafanya huduma hizo kuwafikia Watanzania wengi zaidi, kuvutiwa na kujenga tabia ya usomaji vitabu.

  5. Siha yaandikisha wanafunzi 5,483 darasa la awali na la kwanza

    Siha. Mkuu wa Wilaya ya Siha, mkoani Kilimanjaro, Dk Christopher Timbuka amesema mpaka Januari 15, mwaka huu jumla ya wanafunzi 2,819 kati ya 3,323 wameandikishwa darasa la kwanza wilayani...

  6. Watumishi wawili Rombowssa mbaroni wakidaiwa kuomba rushwa ya Sh550,000

    Chaulo amesema Desemba 31, mwaka 2024, watumishi hao wakiwa katika majukumu yao ya kazi za kawaida za ukaguzi walibaini kuwa mita ya mteja wao ina changamoto iliyosababishwa na mteja huyo na...

  7. Wananchi wazua vurugu msibani, waking’ang’ania kumzika mwenzao

    Vurugu zimeibuka katika Mtaa wa Ilkirouwa, Kata ya Lemara jijini Arusha baada ya wananchi wa eneo hilo kuweka kambi katika nyumba ya familia ya Bariki Tarimo (41) aliyefariki dunia, wakishinikiza...

  8. Lissu ataka Bawacha kupigania mageuzi

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tanzania Bara, Tundu Lissu amelitaka Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha) kupigania mabadiliko ili kupata uwakilishi wa wanawake kwa usawa kwenye vyombo uamuzi.

  9. DC Mgeni acharuka, atoa agizo kukamatwa waliowatia mimba wanafunzi

    Mkuu wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Kasilda Mgeni ameagiza Jeshi la Polisi wilayani humo kuwasaka wanaume wanaodaiwa kuwapa ujauzito wanafunzi wanne katika kata za Kalemawe na Bendera.

  10. Bibi adaiwa kujiua kwa kunywa sumu Rombo

    Inadaiwa kuwa, msichana huyo alipomtafuta alimkuta bibi huyo kajilaza kwenye miti uliopo nyumbani hapo, huku akiwa na hali mbaya.

Previous

Page 44 of 144

Next