Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1435 results for Janeth Joseph :

  1. Baraza la Madiwani Moshi lasitisha tozo za vibali vya sherehe ndogondogo

    Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi limesitisha kwa muda utozaji wa vibali mbalimbali vya sherehe ndogo ndogo kama kumbukumbu za kuzaliwa, kipaimara, ubarikio na vikao vya...

  2. Utafiti: Asilimia 21 Kilimanjaro hawana huduma rasmi za kifedha

    Takwimu za utafiti wa huduma za fedha (Finscope) zinaonyesha asilimia 21 ya wakazi wa Mkoa wa Kilimanjaro wenye umri wa kuanzia miaka 16 hawana kabisa huduma rasmi za kifedha.

  3. Air France yarejesha huduma zake KIA baada ya miaka 28

    Amesema na sasa sekta ya utalii ina mchango mkubwa wa mapato ya uwanja huo kwa kuwa unapokea zaidi ya watalii milioni moja kila mwaka.

  4. Asilimia 10 watoto njiti wanaofika KCMC huwa katika hatari ya kifo

    Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya KCMC, Profesa Gileard Masenga amesema asilimia 10 ya watoto njiti wanaofikishwa hospitalini hapo hufika wakiwa na joto la mwili lililoshuka, hali...

  5. Changamoto ya soko yawasukuma wakulima kuanzisha kiwanda

    Wakulima wa ndizi zaidi ya 30 kutoka Kata ya Maharo, Wilaya ya Rombo, Mkoani Kilimanjaro, wameungana na kuanzisha kiwanda cha kuchakata ndizi ili kukabiliana na changamoto ya kukosekana kwa soko...

  6. Bwana harusi aliyepotea adaiwa kupatikana Kigamboni

    Akizungumza na Mwananchi, Vick Massawe amethibitisha kupatikana kwa ndugu yao jana asubuhi Desemba 16, 2024.

  7. Waziri Mavunde awatoa hofu  wauza madini kwenye minada

    Mirerani. Serikali imewahakikishia wafanyabiashara na wadau wa sekta ya madini nchini, kuwa haina mpango wa kuchukua madini yatakayobaki kwenye minada mbalimbali. Aidha, imesisitiza kuwa dhana...

  8. Hii ndiyo sababu Wachaga kupenda biashara, fedha

    Mwananchi limezungumza na baadhi ya wakazi wa Mkoa huo wakiwemo wafanyabiashara, wanaosimulia chimbuko la watu wa mkoa huo kuwa maarufu katika biashara.

  9. Wito wa amani, uwajibikaji na usafi vyatawala maadhimisho ya uhuru mikoani

    Sherehe za maadhimisho ya uhuru zimefanyika kwa njia tofauti katika mikoa mbalimbali nchini ambapo wananchi na viongozi wameshiriki kufanya usafi huku wito wa amani ukitolewa kwa Watanzania wote.

  10. Sh3 bilioni kukarabati miundombinu ya maji Rombo

    Wakati Wilaya ya Rombo ikikabiliwa na upungufu wa maji lita milioni 12 kati ya milioni 22 zinazozalishwa kwa siku, Serikali imeanza ukarabati wa miundombinu ya zamani ya maji, ili kukabiliana na...

Previous

Page 48 of 144

Next