Adaiwa kumuua baba mkwe wake, amjeruhi mama mkwe, kisa wivu wa mapenzi
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mfanyabiashara Deogratius Mbuya (40), mkazi wa Kijiji cha Leghomulo, Kata ya Kilema Kusini, Wilaya ya Moshi, mkoani humo akituhumiwa kumuua baba...