Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

847 results for Mgongo Kaitira :

  1. Ngoma bado ngumu kumpata Papa mpya, moshi mweusi wafuka

    Makardinali 133 waliokusanyika kutoka nchi 70 duniani waliendesha mchakato huo wa siri, wakitafuta kupata mshindi kwa theluthi mbili ya kura asilimia 66.7 sawa na kura 89.

  2. Rais Ruto apigwa na kiatu akihutubia, watatu watiwa mbaroni

    Katika hali isiyo ya kawaida, Rais wa Kenya, William Ruto, amejikuta akipigwa na kiatu mkononi kilichorushwa kutoka kwenye umati wa watu aliokuwa akiwahutubia katika mji wa Kehancha Magharibi mwa...

  3. Kauli za wananchi, watumishi Serikali kuongeza mshahara

    Kutokana na nyongeza hiyo itakayoanza Julai mwaka huu, kima cha chini cha mshahara kwa watumishi wa umma sasa kitakuwa Sh500,000 kutoka Sh370,000 iliyokuwa ikilipwa kabla ya makato ya kodi.

  4. Safari ya kumchagua Papa mpya yaanza, bomba la kutolea moshi lasimikwa

    Bomba hilo, lililowekwa juu ya paa la kanisa, sasa linatarajiwa kuanza kutoa moshi mweusi mara mbili kwa siku kuanzia kesho Jumamosi asubuhi, kuashiria kuwa Papa mpya bado hajapatikana

  5. PRIME Takukuru yabaini kuongezeka viashiria rushwa katika uchaguzi

    Ripoti ya ufuatiliaji wa vitendo vya rushwa uliofanywa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) imebaini ongezeko la vitendo vya rushwa katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa...

  6. Uingereza nayo yaanza kuwashambulia Wahouthi, waungana na Marekani

    Jeshi la Uingereza, kwa kushirikiana na Jeshi la Marekani, limefanya mashambulizi ya anga dhidi ya wapiganaji wa Houthi nchini Yemen.

  7. Liverpool bingwa EPL 2024/25, yaibonda Tottenham Hotspur

    Imeisha hiyo. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Liverpool kuibamiza Totenham Hotspur mabao 4-2 katika mchezo uliopigwa dimba la Anfield.

  8. Wanawake 100 kupelekwa China kujifunza ujasiriamali, uzalishaji

    Wanawake 100 nchini wanatarajiwa kupelekwa China kwenda kujifunza teknolojia ya uzalishaji, ujasiriamali, masoko, namna ya kutangaza bidhaa na kuinua mitaji ya biashara zao.

  9. Mwisho wa safari ya Papa Francis, dunia yamzika

    Ibada hiyo imeadhimishwa faragha na Kardinali Kevin Farrell, Mwenyekiti wa Baraza la Kipapa la Walei, Familia ambaye pia Camerlengo (kiongozi mkuu wa shughuli za Kanisa wakati kunapotokea kwamba...

  10. Waombolezaji 250,000 waaga mwili wa Papa Francis

    Viongozi wakuu wa mataifa zaidi ya 150 wahudhuria ibada ya mazishi yanayofanyika leo Jumamosi Aprili 26, 2025.

Previous

Page 6 of 85

Next