Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

89 results for Mbonea Herman :

  1. Wataalamu wataja sababu za changamoto za afya ya akili kwa wanaume

    Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO), takriban mtu mmoja kati ya sita hupitia changamoto ya afya ya akili katika maisha yake, huku zaidi ya asilimia 70 ya vifo vinavyotokana na...

  2. Ajali ya ambulensi yaua mgonjwa, wanne wakijeruhiwa Korogwe

    Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Zaharia Abraham (41), mkazi wa Goha wilayani Korogwe, mkoani Tanga, amefariki dunia kufuatia ajali ya gari la wagonjwa lililokuwa likimsafirisha kwenda...

  3. Kilio cha madawati Shule ya msingi Ziwani chasikika

    Shule ya Msingi Ziwani, iliyopo Kata ya Pongwe jijini Tanga ambayo awali ilikuwa na madarasa mawili ya darasa la tano na sita ambayo wanafunzi walikuwa wakikaa kwenye mikeka darasani, sasa...

  4. Soko la Kasera lakumbwa na anguko la bei ya Samaki, mfungo watajwa sababu

    Wavuvi na wachuuzi wa Soko Kuu la Kasera jijini Tanga wamelalamikia kushuka kwa bei ya samaki na kupungua kwa idadi ya wateja, wakihusisha hali hiyo na kuingiliana kwa vipindi vya mfungo wa...

  5. Watishiwa mapanga wakipambana na ukatili wa kijinsia Pangani

    Amesema changamoto hizo zinaathiri pia mapambano dhidi ya ndoa za utotoni na mimba kwa wanafunzi, ambazo zimekuwa zikichangia watoto wa kike kukatisha masomo.

  6. Bei za magimbi, viazi zapaa Tanga, nazi zaadimika

    Mfanyabiashara mwingine, Zawadi Muya amesema hali ya biashara mwaka huu ni tofauti na mwaka jana.

  7. Mbunge aibuka na vita dhidi ya dawa za kulevya Tanga

    Bandawe, ambaye aliwahi kuwa mraibu kwa zaidi ya miaka 22 kabla ya kupona, amesema zaidi ya watu 1,000 wanapatiwa huduma ya methadone mkoani Tanga.

  8. Watoto wa darasa la tano na sita wakalia mikeka darasani

    Wanafunzi wa darasa la tano na sita katika Shule ya Msingi Ziwani, iliyopo Kata ya Pongwe, jijini Tanga, wanalazimika kukaa kwenye mikeka darasani wakifuatilia masomo yao kutokana na uhaba wa...

  9. Dk Mwigulu asitisha leseni 43 za uchimbaji Lushoto

    Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amesitisha leseni 43 za uchimbaji wa madini ya Bauxite zilizotolewa katika eneo la makazi ya wananchi wa Kijiji cha Magamba, Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga ambazo...

  10. Kifusi chaua watano Tanga, Polisi watoa tahadhari

    Ajali hiyo ilitokea saa 11:30 jioni Februari 15, 2026, wakati watu hao wakiwa katika shughuli za uchimbaji wa mchanga.

Previous

Page 7 of 9

Next