Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

89 results for Mbonea Herman :

  1. Makundi ya tembo yawatisha wananchi Lushoto, Serikali yaanza tatua za dharura

    Wananchi wa kata ya Lunguza katika Wilaya ya Lushoto mkoani Tanga wamelalamikia uwepo wa makundi makubwa ya tembo ambayo yamekuwa yakiharibu mazao mashambani, kuharibu miundombinu ya maji na...

  2. Serikali kuendelea kutoa elimu ya fedha, kulinda mali za wananchi

    Mjema amesema utafiti wa upatikanaji wa huduma za fedha umefanyika kwa awamu mbalimbali kuanzia mwaka 2006, 2009, 2013, 2017 hadi 2023, na kubaini kuwa ni asilimia 53.5 tu ya wananchi wanaotumia...

  3. Bandari ya Tanga yatoa onyo kwa madereva wizi wa vipuri

    Mbega amesema kwa wastani magari kati ya 600 hadi 800 hushushwa Bandari ya Tanga kila mwezi, yakihitaji kusafirishwa kwenda maeneo mbalimbali ndani na nje ya nchi, ikiwemo Zambia na Jamhuri ya...

  4. Wavuvi Tanga wasitisha mgomo

    Uongozi wa Chama cha Wavuvi Mkoa wa Tanga umetangaza kusitisha mgomo wa kusitisha shughuli za uvuvi uliokuwa umeanza kwa muda usiojulikana, baada ya serikali kukubali kuwapa wavuvi muda wa...

  5. Mikataba mibovu inavyowarudisha nyuma wakulima wa machungwa

    Utafiti umebaini kuwa mikataba mibovu ya mauzo ya mazao ndiyo chanzo kikubwa cha wakulima wa machungwa kuuza mazao yao kabla hayajakomaa, hali inayowanyima faida halisi na kuwaacha katika...

  6. Majeruhi sita ajali ya Mkumbara wahamishiwa Hospitali ya Rufaa Bombo

    Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Mombo, John Mapolu, amesema majeruhi wengine 13 waliopata majeraha katika ajali hiyo wameendelea vizuri na kuruhusiwa kurejea nyumbani baada ya afya zao kuimarika.

  7. VIDEO: Wanne wafariki dunia ajalini Tanga, 16 wajeruhiwa

    Ajali nyingine ya gari imetokea katika Mkoa wa Tanga na kusababisha vifo vya watu wanne huku wengine 16 wakijeruhiwa.

  8. Wananchi wa vijiji vitano Pangani wataka kulipwa fidia mapema

    Vijiji vinavyohusika katika mradi huo ni Stahabu, Bweni, Mzambarauni, Mikinguni na Mwera, ambapo maeneo hayo yamegundulika kuwa na rasilimali za madini hayo.

  9. TRA Tanga yavuka lengo la makusanyo kwa asilimia 139

    Kiasi hicho ni zaidi ya lengo la Sh181.9 bilioni walilopangiwa kukusanya katika kipindi hicho.

Previous

Page 9 of 9