CCM yaibuka kidedea Mbarali, Bahati Ndingo atangazwa Mbunge mteule Mchakato wa kuhesabu kura za uchaguzi wa Jimbo la Mbarali ulioanza jana bado unaendelea hivi sasa katika ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya.
Wananchi wapongeza upigaji kura Mbarali Baadhi ya wananchi wa Mbarali waliojitokeza kupiga kura kumchagua mbunge wa jimbo hilo mchakato huo unakwenda vizuri na wasimamizi wanaowaongoza vyema na wanachosubiri matokeo ya mshindi.
Vyama 13 kuchuana ubunge Mbarali, Chadema hawamo Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema jumla ya wapiga kura 216,282 walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kupiga kura kesho Jumanne, Septemba 19, 2023 katika...
Ndingo ataja sifa za kiongozi anayefaa Mbarali Wakati wananchi wa Mbarali wakitarajia kufanya uchaguzi mdogo Septemba 19, 2023 mgombea wa nafasi hiyo kwa tiketi ya CCM, Bahati Ndingo ametaja sifa anazotakiwa kuwa nazo kiongozi ikiwemo kujenga...
Wabunge wa CCM kulivalia njuga sakata la GN 28 Mbarali Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaoshiriki kampeni za ubunge wa jimbo Mbarali, mkoani Mbeya; wamejiapiza kulipigia kelele suala tangazo la gazeti la Serikali namba 28 la 2008 (GN28)...
Ndingo ataka mazungumzo mgogoro bonde la Ihefu Mgombea ubunge wa jimbo la Mbarali, kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bahati Ndingo, amewataka wakazi wa jimbo hilo, kuwa watulivu na kushirikiana na Serikali kwenye utatuzi wa mgogoro wa...
Ndingo aanika matano atakayoanza nayo Mbarali Mgombea wa ubunge wa Mbarali mkoani Mbeya kwa tiketi ya CCM, Bahati Ndingo amesema endapo atafanikiwa kushinda nafasi hiyo ataanza kuyasimamia mambo matano ikiwemo suala la migogoro ya ardhi ili...
Gavu: Msijaribishe watu kwenye ubunge, Bahati anatosha Katibu wa Organizesheni wa CCM, Issa Ussi Gavu amewataka wananchi wa Mbarali wasijaribishe kumchagua mbunge asiye sahihi kwani wakifanya hivyo watapoteza fursa muhimu.
Tawa yachunguza nyara zilizokamatwa Australia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (Tawa), imekiri ‘mzigo’ wenye nyara za Serikali ambao umekamatwa nchini Australia, umetoka Tanzania na kwamba ulitumwa kama kifurushi, huku ikisema...
PRIME Kuhusu elimu ya katiba, Wazee waweka ngumu Mpango wa Serikali kutumia miaka mitatu kutoa elimu ya Katiba kwa wananchi kabla ya kuendelea na mchakato umepata upinzani mpya baada ya mawaziri wakuu watatu wastaafu kuhoji sababu za...