Sababu magari kukwama mpakani Sheria mpya zilizopitishwa na nchi jirani ya Malawi zimeelezwa kuwa chanzo cha kukwama kwa magari zaidi ya 60 yaliyobeba shehena za mizigo ya wafanyabishara wa Tanzania kuingizwa nchini kupitia...
DC Mbeya: Wabadhirifu fedha za miradi wafichuliwe Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Beno Malisa, ameagiza uongozi wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (Uvccm) Wilaya ya Mbeya mjini kuibua hoja zenye mashiko zitakazosaidia kufichua...
Sakata la magari mpaka wa Malawi kutua kwa Waziri Mkuu Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera anakusudia kumwandikia barua Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kuingilia kati suala la mkwamo wa magari zaidi ya 60 yenye shehena za mizigo ya wafanyabishara wa...
Sheria mpya Malawi zatajwa sababu magari 60 ya mizigo kuzuiwa Serikali Wilaya ya Kyela mkoani Mbeya imeeleza sababu za magari zaidi ya 60 ya mizigo kuzuiwa nchini Malawi ni kutokana na sheria mpya za usafirishaji wa mizigo zilizopitishwa na nchi hiyo.
Malori ya mizigo yakwama mpakani Malawi Wafanyabishara wa Kasumulu Wilaya ya Kyela Mkoa wa Mbeya wamefunga barabara inayoelekea kituo cha pamoja cha forodha kati ya Tanzania na Malawi kushinikiza magari zaidi ya 60 yaliyobeba shehena...
Msiba wa ajuza wamwibua Spika Tulia Mbeya Spika wa Bunge na Mbunge wa Mbeya Mjini, Dk Tulia Ackson amekemea tabia ya baadhi ya familia kutekeleza wazazi kwa kushindwa kuwahudumia na kuagiza uongozi wa serikali za mitaa kutoa taarifa za...
Waziri Bashe asitisha mgogoro wa Tari na Wananchi Mbeya Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amesitisha zoezi la ujenzi wa mpaka na nyumba za makazi eneo la Sae jijini Mbeya baada ya kuibuka kwa mgogoro uliodumu zaidi ya miaka 49.
Simba anayedaiwa kula mifugo auwawa Wananchi wa Mtaa wa Itezi Magharibi jijini Mbeya, wameshirikiana na Askari wa Wanyamapori Wilaya ya Chunya mkoani hapa; kumuua Simba dume aliyekuwa tishio kwenye makazi ya watu huku akirarua na...
Wakulima Mbeya, Songwe kupewa miche ya kahawa bure Shirika lisilokuwa la kiserikali la wadau wa kilimo (Ansaf) limesema katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi, litatoa miche bure kwa wakulima wa kahawa mikoa ya Mbeya na Songwe.
Ileje Sh85 milioni kuwaondoa vijana mtaani Serikali wilayani ya Ileje Mkoa wa Songwe itatumia zaidi ya Sh85 milioni kwa ajili ya vijana walishindwa kuendelea na elimu ya msingi pamoja na ile ya sekondari, kwa kuwapatia mafunzo ya ufundi...