Ukusanyaji takwimu za kilimo sasa kidijitali Kuanzia sasa, Tanzania itaepukana na na mfumo wa zamani wa kukusanya takwimu za uzalishaji nchini kwa kukadiria, baada ya maofisa kilimo nchini kupata mafunzo ya matumizi ya ukusanyaji wa takwimu...
DC ataka wahalifu migodini watajwe kwa siri Katika kuondoa matukio ya uhalifu kwa wachimbaji madini wadogo wa madini, Serikali wilayani hapa, imetaka waathirika wa matukio hayo watoe taarifa za siri ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa kwa...
Chunya wajihadhari magonjwa ya milipuko Mkuu wa Wilaya ya Chunya, Saimon Mayeka ameagiza viongozi wa ngazi za kata na vijiji kutumia sheria ndogo za halmashauri kuwabana wananchi wanaojihusisha na tabia za uchafuzi wa mazingira, kwa...
Wizara ya Maji yafungua milango uwekezaji sekta binafsi Serikali kupitia Wizara ya Maji imesema imefungua fursa ya kuingia ubia wa mashirika ya sekta binafsi na umma (PPT) kuboresha upatikanaji wa huduma ya maji kwa wananchi mijini na vijijini.
Majaliwa apiga 'stop' michango holela mashuleni Agizo hilo amelitoa leo Ijumaa, Novemba 24, 2023 wakati akizungumza na Wananchi wa kijiji cha Ivugura Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe.
Majaliwa aitaka Rea kuunganisha umeme kwa Sh27, 000 tu Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameagiza Wakala wa Nishati Vijijini (Rea) kuongeza kasi ya kufikisha nishati ya umeme vijijini huku akisisitiza matumizi ya gharama halisi ya Sh27,000...
Bei ya tumbaku yaongeza hamasa kwa wakulima Amesema kwa Chunya pekee mahitaji ya mabani ya kukaushia tumbaku ni 88,000 huku yaliyopo ni 44,000 ambayo hayakidhi mahitaji ya uzalishaji wa kilo kuanzia milioni 27 hadi 30.
Majaliwa ziarani Songwe Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili leo katika Uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Songwe (SIA) mkoani Mbeya, ambapo atakuwa na ziara ya siku tatu katika wilaya za Ileje na Mbozi mkoani Songwe.
Mbeya wahamasishwa kutumia ATM maalumu kupima VVU Wananchi mkoani hapa wamehamasishwa kutumia mashine maalumu za kisasa (ATM) zinazotoa huduma za bure za kipimo cha Virusi Vya Ukimwi (VVU), maarufu kwa jina la ‘Jipime’ ili kutambua afya na...
DC Songwe asimamisha utafiti madini Mto Zira Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Solomon Itunda amesimamisha shughuli za utafiti wa madini ya dhahabu zinazofanywa na Kampuni ya Gold Valley Company Limited kwenye Mto Zira kijiji cha Ileya Kata ya...