PRIME Shekilango alivyofariki katikati ya misheni maalumu Uganda Jumapili ya Novemba 9, 1975, mara baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka huo, Rais Julius Nyerere alitangaza Baraza jipya la Mawaziri lililokuwa na wizara mbili mpya ambazo ni Wizara ya Sheria na Wizara...
PRIME SMZ, kampuni ya Thailand zinavyovutana malipo ya mchele Mei 16, 1997, Mahakama Kuu ya Zanzibar, iliiamuru SMZ kuilipa kampuni ya Thailand deni la msingi la mchele ulioagizwa kati ya mwaka 1986 mpaka 1988
PRIME Mashambulizi ya Lissu alianzia Kaskazini na Rais Samia, akaigeukia Kusini Ndani ya wiki mbili zilizopita, Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tanzania Bara, ametoa kauli mbili nzito. Mosi, mkoani Manyara, alitamka maneno yaliyotafsiriwa kama shambulizi kwa CCM na Rais Samia...
PRIME Wabunge wabainisha kasoro ubora wa elimu, wapendekeza njia za kuweka sawa Wabunge wameichangia bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia nchini Tanzania wakionyesha kinachochangia kushusha ubora wa elimu nchini na kupendekeza kipi cha kufanyika.
Mwanafunzi apotea, mwili wakutwa kwenye shimo la choo Mwanafunzi wa darasa la pili katika Shule ya Msingi Carisa, Angel John aliondoka nyumbani kumfuata dada yake aliyeenda kusuka
PRIME Dk Ndugulile kupeperusha bendera ya Tanzania WHO Vyanzo vya habari kutoka Wizara ya Afya vililiambia Mwananchi kuwa Dk Ndugulile, ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Afya, ndiye atakayeshindanishwa na wagombea wengine kutoka nchi nyingine...
Uamuzi wa Polisi wasubiriwa maziko ya mwanafunzi aliyekukutwa amefariki shimoni Mwanafunzi Angel alipotea Mei 6, 2024 baada ya kuondoka nyumbani kwao akimfuata dada yake aliyekuwa amekwenda kusuka mtaa wa jirani na makazi ya familia yao
Wasichana wapewa mbinu kumudu masomo ya sayansi Kikubwa kinachoangaliwa ni kubuni na kutengeneza mifumo inayotatua changamoto za jamii
PRIME Kwa nini mhimili wa nne unahitaji kuwezeshwa? Wiki hii nzima, nimekuwa jijini Dodoma kuhudhuria mikutano mitatu muhimu ya mambo ya habari. Tulianza na mkutano mkuu wa 13 wa mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), mgeni rasmi alikuwa...
Uzalishaji korosho wapaa, sababu zatajwa Louis Kolumbia, Mwananchi [email protected] Dar es Salaam. Uzalishaji wa korosho umepanda kwa tani 115,900, kutoka 189,114 zilizozalishwa msimu wa 2022/23 hadi tani 305,014 katika...
Refa wa Mamelodi, Yanga apewa fainali Ligi ya Mabingwa Afrika Dar es Salaam. Refa Beida Dahane ameteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika kusimamia teknolojia ya video ya usaidizi kwa marefa (VAR) katika mechi ya kwanza ya fainali ya Ligi ya Mabingwa...
Mafundi 163 watumika kutengeneza vazi la Alia Bhatt Vazi alilovaa mwigizaji kutoka India Alia Bhatt kwenye tamasha la mitindo duniani ‘Met Gala’ lililofanyika Mei 6 mwaka huu katika ukumbi wa ‘Metropolitan Museum of Art’ Manhattan, New York City,...
Uhuru wa habari ni wajibu wa kila mdau Leo ni Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, ambayo huadhimishwa Mei 3, kila mwaka. Katika siku hii, wadau wanapata nafasi ya kutafakari umuhimu wa tasnia ya habari katika kuchochea uhuru...
Mpenzi wako ana hasira? Fanya haya… Katika mahusiano ya aina yoyote, hakuna anayeweza kusema hajawahi kukasirika. Mara kwa mara tunakwazana na kukasirishana, ingawa wako wale ambao hasira yao iko karibu zaidi na huja kwa ukali...