Pogba amhurumia Neymar kelele za mashabiki asipofunga mabao

Muktasari:

 

  • England. Mshambuliaji wa Manchester United, Paul Pogba (24) amesema msimu uliopita alipata kashikashiyamashabikikutokananakilamtuakimhusishana thamani yake ya usajili na kiwango cha uwanjani.

 

England. Mshambuliaji wa Manchester United, Paul Pogba (24) amesema msimu uliopita alipata kashikashiyamashabikikutokananakilamtuakimhusishana thamani yake ya usajili na kiwango cha uwanjani.

Pogba alisema sasa mzigo huo ameupokea Neymar ambaye anashikilia rekodi ya mchezaji ghari kusajiliwa na PSG kwa thamani ya Pauni 198 milionimsimuwa 2017/18.

Neymar alikuwa Paris Ufaransa ambako mashabiki wa PSG walijumuika kushehekea uhamisho wake,hukua kitumia nafasihiyokupiga mpira kwenyekiti maalumu alichoandaliwa,ambapo fedha zitakazopatikana kwenye sherehe hiyo zitatumika kuwasaidia waathirikawa mafuriko SieraLione.