Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

VIDEO: Wanaotumiwa kuihujumu NCU kizimbani

Muktasari:

Watu hao wanatuhumiwa kujimilikisha na kasha kuuza mali za NCU

 

Mwanza. Watu wawili wamepandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi mwanza Januari 17 wakikabiliwa na mashtaka matatu ikiwemo kuhujumu mali yenye thamani ya zaidi ya Sh bilioni 10.073 za Chama cha Ushirika Nyanza (NCU).

Waliosemewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi mwandamizi, Gway Sumaye ni Anthonia Wambura na Timoth Kilumile, wote wakazi wa jiji la Mwanza.