Wafugaji 480 Arusha kufundishwa Kiingereza
Tuesday January 30 2018

Mwalimu John Macha akiwafundisha lugha ya Kiingereza baadhi ya wajasiriamali wa jamii ya kimasai, baada ya taasisi ya Chemchem kuwalipa walimu ili kutoa elimu hiyo kwa wajasiriamali 480 katika vijiji 10 vilivyopo eneo la Hifadhi ya Tarangire.