Kesi ya Uhaini 1985: Tamimu auawa, kesi ya wenzake yaanza-2

Kesi ya Uhaini 1985: Tamimu auawa, kesi ya wenzake yaanza-2

Muktasari:

  • Jana tuliona jinsi mambo yalivyokuwa alipofuatwa nyumbani kwake Kinondoni Mkwajuni na wanausalama, kinara wa mapinduzi, Mohamed Tamimu baada ya kuruka ukuta na kutoroka huku wanausalama wakimwandama.

Jana tuliona jinsi mambo yalivyokuwa alipofuatwa nyumbani kwake Kinondoni Mkwajuni na wanausalama, kinara wa mapinduzi, Mohamed Tamimu baada ya kuruka ukuta na kutoroka huku wanausalama wakimwandama.

Baada ya mapambano na wanausalama yaliyodumu kwa karibu saa mbili eneo la Leaders Club hadi eneo la Drive In (sasa Ubalozi wa Marekani), Tamimu alizidiwa, akauawa kwa kupigwa risasi.

Pamoja na yeye kuuawa, wenzake waliendelea kukamatwa na baadaye kufikishwa mahakamani.

Habari kamili bonyeza hapa: https://egazeti.co.tz/show_related/8467