Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Guendouezi akutwa na corona

LONDON, ENGLAND. KIUNGO wa Arsenal anayekipiga kwa mkopo Hertha Berlin, Matteo Guendouzi amegunduliwa kuwa na maambukizi ya corona. Guendouzi, ambaye amejiunga na Hertha katika dirisha lililofungwa hivi karibuni, amebainika kuwa na maambukizi hayo siku chache baada ya kutoka kuingoza timu ya Taifa ya Viajana ya Ufaransa. Akiwa nahodha wa kikosi hicho cha chini ya miaka 21, kiungo huyo aliiwezesha kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Liechtenstein kisha wakashinda bao 1-0 dhidi ya Slovakia mapema Jumatatu.

Lakini, alipotua kambini kujiunga na wenzake juzi Jumanne, akabainika kuwa na maambukizi ya corona. Sasa atakuwa karantini siku 14.