Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Karia ashinda urais TFF kwa asilimia 100

Tanga. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa TFF, wamemuidhinisha Wallace Karia kuendelea kuwa Rais wa Shirikisho hilo kwa miaka mingine minne.

Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya TFF, Kiomoni Kibamba ametangaza hilo muda mfupi baada ya wajumbe wote wa mkutano huo kumuidhinisha.

“Mkutano mkuu huu leo hii na mahala hapa na muda huu wamemuidhinisha Wallace Karia kuwa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu kwa miaka mingine minne,” amesema Kibamba.