• Habari Zaidi
  • Michezo
  • Picha
  • Video
  • Toleo Maalum
  • Ajira
  • Notisi
  • Premium
  • Habari Zaidi
    Biashara Makala

    Latest Habari Zaidi

    Viongozi 20 Chadema waachiwa
    Wafanyakazi wa ndani wataka kuheshimiwa
    Rais Samia apokea tuzo akimtaja Hayati Magufuli
    Majaliwa aagiza matumizi nishati ya gesi kupanuliwa
  • Michezo
    Burudani

    Latest Michezo

    Danny Mrwanda anapiga hela ndefu kwa siku
    Saido, Ambundo watimuliwa kambini Yanga
    Biashara yaipunguza kasi Yanga, Mayele atetema tena
    Kaze akiri kuiwaza Simba
  • Picha
  • Video
  • Toleo Maalum

    Latest Toleo Maalum

    Makala za video za kampuni tatu changa zenye ubunifu
    Asam Oil inajivunia uongozi wa soko la mafuta nchini
    Uwekezaji wa Swissport katika usalama hauna mfano
  • Ajira
  • Notisi
    Zabuni
  • Premium
  1. Mwananchi
  2. Picha

Bungeni leo Jumanne Mei 9, 2022

mafutaaapiic
1/9
mikopopiic
2/9
mkumbo pic
3/9
shigongo pic
4/9
msukuma pic
5/9
ufadhili pic
6/9
wanafunzi pic
7/9
vyuo pic
8/9
wanafunzi pic2
9/9
PREV NEXT


Waziri wa Nishati, January Makamba



Mbunge wa Ubungo (CCM) Profesa Kitila Mkumbo akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2022/2023 bungeni jijini Dodoma leo Jumanne 10 Mei 2022. Picha na Merciful Munuo


Mbunge wa Buchosa (CCM), Erick Shigongo akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2022/2023. Picha na Merciful Munuo


Mbunge wa Geita (CCM), Joseph Musukumaakichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2022/2023 leo Jumanne Mei 9, 2022. Picha na Merciful Munuo


Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda akisoma makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kwa mwaka 2022/2023 Bungeni jijini Dodoma leo Jumanne Mei 10, 2022. Picha na Merciful Munuo


Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Aloyce Kamamba wakati akiwasilisha maoni ya kamati yake kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia 2022/2023, Bungeni jijini Dodoma leo Jumanne Mei9, 2022. Picha na Merciful Munuo.


Mbunge wa Singida Magharibi (CCM) Elibariki Kingu akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa mwaka 2022/2023 leo Jumanne Mei 10, 2022 . Picha na Merciful Munuo


Mbunge wa Maswa Mashariki (CCM), Stanslaus Nyongo leo akichangia katika makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia mwaka 2022/2023, bungeni jijini. Dodoma leo Jumanne Mei 9,2022. Picha na Merciful Munuo

Habari Zaidi

Biashara Makala

Michezo

Burudani

Picha

Video

Toleo Maalum

Ajira

Notisi

Zabuni

Premium

Mwananchi
Apps
  • Play Store

  • App Store
Information
  • Contact Us
  • Frequently asked questions
  • NMG Privacy Policy
  • Terms of use
  • Terms and Conditions of Use
  • Our Blog Rules
NMG Sites
  • Mwananchi
  • Mwanaspoti
  • Swahilihub
  • E-Papers
  • Business Daily
  • Daily Monitor
  • Webmail
  • Taifaleo
  • The Eastafrican
  • Nation Media Group
  • eGazeti
Tufuate

Mwananchi