Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2022/2023, jijini Dodoma leo. Mbarawa ameliomba bunge lipitishe bajeti ya wizara hiyo kiasi cha Sh3.866 trilioni. Picha na Edwin Mjwahuzi