Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akiwasilisha mpango wa mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali na makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2023/2024 Jumatano Apri 5,2023 bungeni jijini Dodoma. Picha na Merciful Munuo