Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda akizungumza alipokuwa akijibu maswali ya waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC), jijini Arusha leo Novemba 17, 2024 wakati akiwasilisha ripoti ya miezi sita ya utendaji kazi wake katika nafasi hiyo mkoani humo. Picha na Edwin Mjwahuzi