Picha Mbowe Mahakamani Jumamosi, Septemba 11, 2021 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amefikishwa katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi Photo: 1/1 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
Mahakama Kuu kutoa uamuzi leo maombi ya Lissu Lissu amefungua shauri la maombi Mahakama Kuu akipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuahirisha usikilizwaji wa kesi dhidi yake ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni uliotolewa...
Chadema wamkataa jaji kesi kugombea rasilimali Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Bodi ya Wadhamini wake waliosajiliwa, kimewasilisha maombi ya kumtaka Jaji Hamidu Mwanga anayesikiliza kesi yake ya mgogoro wa mgawanyo wa...
Kesi ya mgawanyo wa rasilimali Chadema kunguruma leo Kesi ya mgogoro wa mgawanyo wa rasilimali inayokikabili Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kusikilizwa leo Alhamisi, Julai 10, 2025 Mahakama Kuu Masjala Ndogo ya Dar es Salaam.