Picha Tawa wafanya usafi kituo cha afya Kingolwira Jumapili, Desemba 22, 2024 Wafanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyama Pori Tanzania TAWA Mkoa wa Morogoro wakifanya usafi katika kituo cha afya Kingolwira kilichopo Manispaa ya Morogoro ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika. Picha Hamida Shariff Photo: 1/4 View caption Photo: 2/4 View caption Photo: 3/4 View caption Photo: 4/4 View caption Login to join the discussion Please enable JavaScript to view the comments powered by Disqus.
PRIME Kauli ya CCM kuhusu Askofu Gwajima kuwania ubunge Kauli ya CCM imekuja wakati ambao Askofu Gwajima yupo kwenye wimbi zito baada ya kanisa lake kufutwa.
PRIME Ina pande mbili kicheko, maumivu Ni bajeti ya kicheko na maumivu, hivi ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kufuatia bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026 kuwa na pande mbili zinazowagusa wananchi.
Ajali ya ndege yaua abiria 242, hakuna aliyepona Ndege hiyo iliyokuwa na jumla ya abiria na wahudumu 242 imeanguka saa 7:38 mchana leo Alhamisi Juni 12, 2025, dakika chache baada ya kuruka kutoka Uwanja wa Ndege Ahmedabad nchini India.