• Habari Zaidi
  • Michezo
  • Picha
  • Video
  • Toleo Maalum
  • Ajira
  • Notisi
  • Premium
  • Habari Zaidi
    Biashara Makala

    Latest Habari Zaidi

    Viongozi 20 Chadema waachiwa
    Wafanyakazi wa ndani wataka kuheshimiwa
    Rais Samia apokea tuzo akimtaja Hayati Magufuli
    Majaliwa aagiza matumizi nishati ya gesi kupanuliwa
  • Michezo
    Burudani

    Latest Michezo

    Danny Mrwanda anapiga hela ndefu kwa siku
    Saido, Ambundo watimuliwa kambini Yanga
    Biashara yaipunguza kasi Yanga, Mayele atetema tena
    Kaze akiri kuiwaza Simba
  • Picha
  • Video
  • Toleo Maalum

    Latest Toleo Maalum

    Makala za video za kampuni tatu changa zenye ubunifu
    Asam Oil inajivunia uongozi wa soko la mafuta nchini
    Uwekezaji wa Swissport katika usalama hauna mfano
  • Ajira
  • Notisi
    Zabuni
  • Premium
  1. Mwananchi
  2. Picha

Vilio vyatawala mwili wa mbunge Irene ukiagwa

kuaga3
1/5
kuaga2
2/5
kuaga1
3/5
kuaga 4
4/5
kuaga 5
5/5
PREV NEXT


Mbunge wa Jimbo la Nsimbo, Anna Lupembe (kushoto) amkimfariji mkwe wake, Alex Ndyamkana (katikati) ambaye ni mume wa mbunge wa viti maalum, Irene Ndyamkama wakati wa ibada ya kumuaga Irene iliyofanyika katika viwanja vya bunge jijini Dodoma, Aprili 27, 2022


Maaskari wa bunge wakimsaidia mwombolezaji aliyekua akiangua kilio baada ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Mbunge wa Viti Maalum, Mkoa wa Rukwa (CCM), Irene Ndyamkama wakati wa ibada ya kumuaga iliyofanyika katika viwanja vya bunge jijini Dodoma, Aprili 27, 2022.


Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango akiwa na mke wake wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Mbunge wa Viti Maalum, Mkoa wa Rukwa (CCM), Irene Ndyamkama wakati wa ibada ya kumuaga iliyofanyika katika viwanja vya bunge jijini Dodoma, Aprili 27, 2022.


Maaskari wa bunge wakiwa wamebeba mwili wa Mbunge wa Viti Maalum, Mkoa wa Rukwa (CCM), Irene Ndyamkama baada ya ibada ya kumuaga iliyofanyika katika viwanja vya bunge jijini Dodoma, Aprili 27, 2022.


Gari lililobeba mwili wa Mbunge wa Viti Maalum, Mkoa wa Rukwa (CCM), Irene Ndyamkama likiondoka katika viwanja vya bunge baada ya ibada ya kumuaga iliyofanyika jijini Dodoma, Aprili 27, 2022

Habari Zaidi

Biashara Makala

Michezo

Burudani

Picha

Video

Toleo Maalum

Ajira

Notisi

Zabuni

Premium

Mwananchi
Apps
  • Play Store

  • App Store
Information
  • Contact Us
  • Frequently asked questions
  • NMG Privacy Policy
  • Terms of use
  • Terms and Conditions of Use
  • Our Blog Rules
NMG Sites
  • Mwananchi
  • Mwanaspoti
  • Swahilihub
  • E-Papers
  • Business Daily
  • Daily Monitor
  • Webmail
  • Taifaleo
  • The Eastafrican
  • Nation Media Group
  • eGazeti
Tufuate

Mwananchi