#LIVE- Rais Samia ashiriki matembezi ya miaka 58 ya Zanzibari
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akishiriki Maadhimisho ya Kilele cha Matembezi ya Miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibari, wilaya ya Mkoani, Kusini Pemba leo tarehe 07 Januari, 2022.