Abiria 26 waokolewa ajali ya ndege Ziwa Victoria
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amesema watu 26 kati ya 43 waliokuwa kwenye ndege ya Shirika la Precision Air iliyopata ajali Ziwa Victoria, mjini Bukoba mkoani Kagera, wameokolewa.
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila amesema watu 26 kati ya 43 waliokuwa kwenye ndege ya Shirika la Precision Air iliyopata ajali Ziwa Victoria, mjini Bukoba mkoani Kagera, wameokolewa.