Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Baadhi ya wenyeviti wa mikoa wa Chadema wamesisitiza chama hicho kuanza mikutano ya hadhara, ikiwa ni utekelezaji wa agizo la mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe.


Desemba 15 mwaka huu, akizungumza katika mkutano wa uchaguzi wa Bunge la wananchi la Chadema uliofanyika Dar es Salaam, Mbowe alisema chama hicho kinaendelea na maridhiano na CCM, huku akiwataka viongozi wenzake kuendelea na mikakati ya kisiasa ya kujiimarisha.