Diwani aliyepotea akutwa nyumbani kwa Ashura
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema polisi imefanikiwa kumpata diwani wa Kawe (CCM), Mutta Rwakatare aliyekuwa akitafutwa na ndugu zake kuanzia Februari mwaka huu.
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema polisi imefanikiwa kumpata diwani wa Kawe (CCM), Mutta Rwakatare aliyekuwa akitafutwa na ndugu zake kuanzia Februari mwaka huu.