Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mwenyekiti wa Kampuni ya National Media Group (NMG), Dk Wilfred Kiboro amesema zaidi ya nchi 17 za Afrika zimekubali na kuunga mkono mpango wa kuwa na ‘Soko la Usafiri wa Anga la Afrika (SAATM)’.

Hayo ameyasema leo Alhamis Desemba 8, 2022 wakati akizungumza kwenye tamasha la ‘Kusi Ideas Festival’ lililoandaliwa na NMG linalofanyika Nairobi nchini Kenya.