71 wafutiwa matokeo kidato cha sita, ualimu, 244 yazuiliwa
Akitangaza matokeo hayo leo Julai 5, 2025 katika ofisi za baraza hilo Zanzibar, Katibu Mtendaji wa baraza hilo, Profesa Said Mohamed amesema matokeo hayo yamefutwa kwa mujibu wa kifungu cha 5(2)...