Mahakama Kuu yatupa maombi ya Lissu Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali maombi yaliyowasilishwa na Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, baada ya kukubali pingamizi la Jamhuri kuwa yako kinyume cha sheria.
Mahakama Kuu kutoa uamuzi leo maombi ya Lissu Lissu amefungua shauri la maombi Mahakama Kuu akipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuahirisha usikilizwaji wa kesi dhidi yake ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni uliotolewa...
Chadema wamkataa jaji kesi kugombea rasilimali Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Bodi ya Wadhamini wake waliosajiliwa, kimewasilisha maombi ya kumtaka Jaji Hamidu Mwanga anayesikiliza kesi yake ya mgogoro wa mgawanyo wa...