Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1169 results for Elizabeth Edward :

  1. Hofu ya wadau INEC ikitoa orodha ya wasimamizi wa uchaguzi

    Kwa mujibu wa kifungu cha sita cha sheria hiyo mpya, kifungu kidogo cha kwanza, tume inaweza kumteua mtumishi wa umma mwandamizi kuwa msimamizi wa uchaguzi kwa madhumuni ya kuendesha uchaguzi...

  2. TRA yaandika historia mpya ya makusanyo

    Wakati mwaka mpya wa fedha ukianza leo, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imemaliza mwaka wa fedha 2024/2025 kwa mafanikio, ikivuka lengo la makusanyo yake na kuandika historia mpya ya ukusanyaji.

  3. Hii hapa mikakati ya mwenyekiti mpya wa Tamwa

    Mwenyekiti wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (Tamwa), Dk Kaanaeli Kaale ameahidi kuwa katika kipindi chake cha uongozi wa miaka mitatu miongoni mwa mambo yatakayopewa kipaumbele...

  4. Tamwa: Mwanamke mwanasiasa ahukumiwe kwa hoja siyo jinsia

    Ikiwa zimesalia siku chache kabla ya kuanza kwa kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu, Chama cha Wanahabari Wanawake (Tamwa) kimetaka kuondolewa kwa hila zote dhidi ya wanawake wanasiasa ili kutoa wigo...

  5. Serikali yajitosa huduma za teksi mtandao

    Ni rasmi Serikali imejitosa kwenye huduma za teksi mtandao, hivi ndivyo inavyoweza kutafsiriwa kufuatia Shirika la Posta Tanzania kuingia mkataba na kampuni ya taksi mtandao kutoa huduma za...

  6. Rais Samia atoa ujumbe kwa viongozi Afrika

    Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka nchi za Afrika kuhakikisha zinakuwa na amani na umoja wa kitaifa ili kushirikiana kufanikisha hatua nyingine za mageuzi ya kifikra na kutafuta uhuru wa kiuchumi.

  7. Huu hapa ujumbe kwa wastaafu

    Katika juhudi za kubadili mtazamo kuhusu nafasi ya wastaafu katika jamii, Taasisi ya Philemon Foundation imewakutanisha wastaafu kutoka maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kujadili namna ya...

  8. Kilio cha wajane kuelekea siku yao, Serikali kuja na mwongozo

    Takwimu za kidunia zinaonesha kuwa idadi ya wajane ni takriban milioni 258 kati ya hao, wajane 115 milioni wanadhulumiwa, wanafanyiwa ukatili, wanakabiliwa na umaskini na kutengwa na jamii.

  9. PRIME Kasi wazazi kuua watoto yashtua

    Matukio ya wazazi kuua watoto wao na wenyewe kujiua yanazidi kushika kasi nchini, yakiripotiwa matano kati ya Januari hadi Juni 2025.

  10. PRIME Mgongano wa masilahi kikwazo likizo za wanafunzi

    Wazazi, walimu na wenye shule wanatajwa kuwa chanzo cha wanafunzi kuendelea na masomo katika kipindi hiki cha likizo kinyume cha waraka uliotolewa na Serikali.

Page 1 of 117

Next