Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

1262 results for Herieth Makwetta :

  1. Fanya haya unapomwandaa mtoto anayesoma maeneo yenye baridi

    Uchaguzi wa mavazi ya kumkinga na baridi, afya na kinga ni mambo yaliyotajwa kuzingatiwa na mzazi anapomwandaa mtoto kwenda shule (bweni), huku lishe inayofaa ikitajwa kuwa kipaumbele kwa wazazi...

  2. Profesa Janabi akabidhiwa ofisi WHO

    Profesa Mohamed Janabi alikula kiapo Mei 28, 2025 mwaka huu ikiwa ni siku 11 tangu alipochaguliwa Mei 18, 2025 wakati wa kikao maalumu cha ana kwa ana cha kamati na bodi hiyo ya utendaji...

  3. Samia awaagiza Ma-RC kusimamia kilimo

    Rais Samia Suluhu Hassan amewaagiza Wakuu wa Mikoa nchini kuhakikisha wanakwenda kusimamia kilimo kwa kuwa ndiyo sekta nyeti na muhimu kwa Taifa.

  4. Samia ataja sababu kumteua Sirro, atoa maagizo kwa viongozi wapya

    Rais Samia Suluhu Hassan ametaja sababu ya kumteua Balozi Simon Sirro kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kigoma akisema ni sababu za kiusalama katika eneo hilo, huku akiitaja Ngorongoro kuwa ni pasua kichwa.

  5. Serikali yamwaga ajira mpya bandari, omba hapa

    Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) na Chuo cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) imetangaza nafasi 184 za kazi.

  6. PRIME Ratiba ya kuoga inavyogonganisha wataalam, wananchi

    Primrose Freestone, mhadhiri mwandamizi wa microbiolojia katika Chuo Kikuu cha Leicester, amekuja na jibu ambalo ni habari mbaya kwa wanaopendelea kuoga usiku.

  7. Mtaalamu ashauri ruzuku iwepo kushughulikia bima ya afya kwa wote

    Hatua hiyo itasaidia mifumo ya mafao ya bima yaani Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), kuuboresha Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)...

  8. PRIME Mwanamke asipoona hedhi damu yake inakwenda wapi?

    Umeshawahi kukosa hedhi miezi miwili au mitatu, ukawa unaishi kwa hofu ukidhani una mimba, Je? Ulichukua hatua gani, ulishafikiria ile damu ambayo haikutoka ilienda wapi?

  9. Profesa Kabudi ataja matokeo tarajiwa Daraja la JP Magufuli

    Kwa mujibu wa Kabudi, nchi itakavyoweza kujenga barabara kwenda kutuunganisha na Afrika ya Kati inayopakana na Uganda, Congo Brrazavile na nchi za Afrika Magharibi, miaka 15 ijayo daraja hilo...

  10. Jokate ‘awamegea’ siri vijana kutoboa kipindi cha Rais Samia

    Asema vijana wakishikamana, kushirikiana na kuwa na mawazo chanya, wataweza kutumia fursa zilizopo kwa kushiriki kwenye miradi ya kimkakati ya Taifa na kuonyesha ushiriki wao moja kwa moja.

Page 1 of 127

Next