Search

971 results for Herieth Makwetta :

  1. Dar, Mwanza, Kilimanjaro zaongoza saratani ya mlango wa kizazi

    Akizungumza leo Ijumaa, Aprili 26, 2024 katika mkutano na viongozi wa dini uliolenga kutoa elimu kuhusu chanjo ya HPV, Meneja Mpango wa Chanjo wa Taifa, Dk Florian Tinuga amesema utafiti huo...

  2. Mloganzila mguu sawa upasuaji wa kuongeza makalio

    Kambi ya upasuaji kufanyika Mei, 2024, kipato chakwamisha wahitaji wengi.

  3. Waziri Ummy: Pombe feki chanzo ongezeko magonjwa yasiyoambukiza

    Uzalishwaji wa pombe zisizo na ubora umetajwa kuwa mwiba kwa Serikali kutibia magonjwa yasiyoambukiza ikiwemo athari zinazotokea katika ini, moyo na figo.

  4. Rais Samia kuwagharimia matibabu watoto 100 

    Rais Samia Suluhu Hassan atagharimia matibabu ya upasuaji na utengamao kwa watoto 100 wenye vichwa vikubwa na mgongo wazi yatakayofanyika katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI).

  5. Mashine ya kisasa kugundua saratani ya matiti yafungwa Muhimbili

    Mashine hiyo, ‘Senographe Pristina 3D Mammography’ yenye thamani ya Sh800 milioni imetolewa na Serikali ya Marekani, itagundua seli ndogondogo zilizoanza kujitengeneza kuwa saratani katika matiti

  6. Hiki hapa alichobaini CAG matatizo afya ya akili

    "Wataalamu wa saikolojia ni muhimu sana, wapewe nafasi kutekeleza kile wanachoweza kukifanya, wanatamani kuyafanyia kazi yale wanayoyajua, kada hii ipewe nguvu tunaamini saikolojia ni kazi kama...

  7. PRIME Serikali kuja na vigezo vipya madereva mabasi ya shule

    Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Carolyne Nombo amesema wizara walitoa mwongozo wa mabasi ya shule na kwamba waliviachia vyombo vingine vya Serikali kuendelea na...

  8. PRIME Huyu ndiye Dk Moremi na kibarua kipya Maabara ya Taifa

    “Dk Moremi hakukosea shida ni kwamba tunaingiza siasa kwenye sayansi,” amesema Dk Ali Mzige.

  9.  Bosi wa zamani arejeshwa Maabara ya Taifa

    Dk Moremi ni miongoni mwa wabobezi katika fani ya maabara na ni mtaalamu wa magonjwa ya kuambukiza.

  10. PRIME Sababu 20 upungufu nguvu za kiume, matibabu yake

    “Utakuta mtu anatumia karanga mbichi, mihogo mibichi, vipande vya nazi, supu ya pweza, alkasusu, hivi ni vitu visivyoenda moja kwa moja kuongeza nguvu hizo kama wanavyodhania, bali ni vichocheo...

Page 1 of 98

Next