Search

482 results for Baraka Loshilaa :

  1. Bei ya petroli yapaa, ni ya juu zaidi katika miezi 20 iliyopita

    Sh2,840 ya lita ya mafuta ya taa iliyosalia kwa miezi minne mfululizo ni chini zaidi katika miezi 21 iliyopita, ambapo Agosti 2022 ilikua Sh3,765 ambayo haijawahi kufikiwa.

  2. Matunda ziara ya Rais Samia Uturuki kuonekana katika sekta ya elimu 2025

    Kuanzia Aprili 17 hadi 21, 2024 Rais Samia na ujumbe wake wakiwemo wadau wa sekta za fedha na wafanyabiashara walifanya ziara ya siku tano nchini Uturuki kwa mwaliko wa Rais wa nchi, Recep Tayyip...

  3. Balozi Ulanga: Ziara ya Samia Uturuki itafungua zaidi fursa za uwekezaji

    Balozi Ulanga amefafanua hayo leo Aprili 30, 2024 wakati wa mjadala wa Mwananchi X-Space ulioandaliwa na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa lengo la kuchambua safari ya...

  4. Ukosefu wa takwimu unavyoathiri sekta ya uvuvi nchini

    Athari inayoweza kutokea ni Tanzania kushindwa kujenga hoja kimataifa kupewa eneo kubwa kwa ajili ya uvuvi kutokana na kukosa takwimu za samaki waliopo.

  5. PRIME Mageuzi 13 ya Tamisemi kwenye elimumsingi

    Bajeti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imepitishwa na wabunge huku fedha ya bajeti zikiongezeka.

  6. Profesa Mkenda awakingia kifua wanaume Rombo dhidi ya tuhuma za ulevi

    Ni utetezi dhidi ya wanaume hao kuishiwa nguvu kwa sababu ya ulevi, hali inayowalazimu wake zao kukodi wanaume kutoka Kenya.

  7.  Polisi yawaachia ‘Boni Yai’ na Malisa, watoa msimamo

    Pamoja na kukaa rumande kwa siku tatu, Jacob amesema hawatanyamazishwa kwa kunyimwa dhamana akiwataka wote waliopoteza ndugu zao wapeleke taarifa kwake.

  8. Dk Biteko atoa maagizo kilio cha kodi, tozo shule binafsi

    Serikali imetoa tamko hili ukiwa ni mwezi mmoja kupita tangu gazeti hili kuandika kilio cha wadau hao kwenye kodi wakidai zipo takribani 25 zinazowanyima usingizi.

  9. Mikoa 16 kupata mvua leo, upepo mkali wa siku nne

    Taarifa ya TMA imetolewa leo Aprili 26, 2024 na TMA huku ikiweka angalizo la upepo mkali unaofikia kilomita 40 kwa saa na mawimbi makubwa yanayofikia mita mbili.

    New Content Item (1)
  10. Afrika yatakiwa kupunguza gharama huduma za afya

    Kitita cha PEN-PLUS ambacho kitashughulika na maradhi ya selimundu, kisukari aina ya kwanza na tatizo la moyo kwa watoto, ni mpango wa nchi za Afrika kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza.

Previous

Page 2 of 49

Next