Search

111 results for Dk Levy :

  1. Krismasi hii wazee wa kubeti ndio viumbe pekee wenye matumaini

    Krismasi kabla haijafanyika imekosa mvuto kwa kiwango cha juu sana. Watu hatuna kitu lakini madukani vitu vimejaa. Kuanzia Kariakoo mpaka Buza kule kwa Mpalange. Tatizo ukame wa faranga. Mifuko...

  2. Jokate anaacha alama na somo

    Somo kwa wasanii wasioangalia kesho yao. Wanaogeuza ngozi zao kama kuta za gereza kwa maandishi (tattoo). Wanaobeba ya vyumbani, nyumba za wageni na kutundika mitandaoni. Mtaongoza watu...

  3. Dah! ulikuwa mwaka wa mapenzi kuliko sanaa

    Huu ni mwaka ambao mastaa hawa waliwekeza zaidi kwenye hisia za mapenzi kwa asilimia 70 na iliyobaki wakaiweka kwenye sanaa.

  4. Tusijizime data kukumbatia mwonekano, kuacha vipaji

    Kuendekeza sura na mionekano kunaimaliza sanaa. Isiwe kitu cha kuchukuliwa juujuu tu. Kama kweli tuna uchu na maendeleo ya kweli ya sanaa hii kuna kitu tunatakiwa kufanya. Tunapwaya kwa...

  5. Harmo huku hayupo, lakini kwa mashairi na 'melodi' yupo katika dunia yake

    Siyo kuandika tu, hata 'melodi' zake na uwezo wa kutafuta visa vya kuandikia nyimbo zake...amejipata.

  6. Nini kina Whozu? kuna mambo 'mobu' kwenye simu...

    Whozu, Mbosso na Bilinenga. Wamepigwa stop kudili na muziki kwa miezi kadhaa. 'Maskanka' sijui 'mabapa', yalirusha stimu zao masela na kufanya video wanayoijua wao na pisi zao. Mamlaka ikakunjua...

  7. Kuna ‘ushosti’ wa VPN na video za wasanii

    Teknolojia inazidi kupata maarifa sambamba na watu wengi kwenye jamii wanavyopoteza busara vichwani. Ukitaka kujua hilo zama mitandaoni utazame upotevu wa fikra na busara kwa watu wengi vichwani...

  8. Kilele cha ‘Jiniasi’ Nyerere Julius

    Akili kubwa imelala kijijini Butiama pale. Ni Baba wa Taifa hili, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Mwaka wa 24 huu ‘kiranja’ wetu huyu hatupo naye. Wacha tule ‘wikiendi’ tukifurahia maisha yake.

  9. Tofauti ya Kajala na Paula iko hapa

    Paula! Na mabinti wengine wa kizazi cha miaka ya 2000. Wana tofauti kubwa na Kajala na mabinti wa kizazi cha miaka ya 1990 kushuka chini. Na tofauti yao ipo katika malezi tu.

  10. Khaligraph angejibiwa na mstari mmoja wa Solo Thang

    Siyo yeye tu! Ulimsikia Ommy Dimpoz baada ya kifo cha Ngwair? Alisema wasanii hawapaswi kufa maskini. Wachache sana walimuelewa baada ya kauli hiyo. Alimtazama vibaya. Vidole alinyooshewa kama...

Previous

Page 2 of 12

Next