Search

93 results for Dk Levy :

  1. Ndani ya boksi: Wa 'Mondi nijibu nivimbe kitaa' Wanavyotengwa

    Bob naye aliwachana ‘masela lawama’ hao. Kwamba tunatafuta pesa ili tuhame huko. Sasa kama tunazisaka na kuzipata kisha tuendelee kulikita huko uswekeni. Basi hakuna haja ya kuzisaka. Yu noo?

  2. Ndani ya boksi: Mama Dangote + menejimenti + akili ya Mondi = utajiri

    Ngumu sana kuelewa nguvu ya Bi Sandra, katika michongo ya Diamond. Huyu ni kiungo mchezeshaji. Ambaye toka siku ya kwanza aliamua kutoa ‘asisti’ za mipunga kwa mtoto wake. Akili na moyo wa Bi...

  3. Ndani ya boksi: Krismasi hii kama Dullah Makabila, wa vizinga pita huku...

    Raha ya kumtokea mrembo awe na aibuaibu. Tena siyo aibu kidogo, bali aibu flan hivi kubwa. Ili mkisimama sehemu basi azuge kuchuma majani. Akate tawi la mti au ua. Namna hiyo bana. Yes!

  4. NDANI YA BOKSI: Siyo bangi tu, hata video za utupu ni shida kubwa

    Wazee wamecharuka. Wamekasirika. Kifupi wamenuna. Wamefura. Hawataki tena kusikia masela wakiimba na kusifia ganja. Yes! Ni ganja pekee ndio dawa za kulevya zenye promo kubwa kwenye ngoma za...

  5. Ndani ya boksi: ‘Usingo mamazi’ kumbe ni dili? ‘sijapentaa’!

    Diamond Platinumz. Mfano halisi wa msela mwenye mafanikio makubwa sana. Mbali na mali nyingi alizonazo, pia ana makidi wanne aliopata kwa pisi kali tofauti tofauti. Kaanza Zari, Hamisa kisha...

  6. NDANI YA BOKSI: Namuwaza Zuchu katika mikono ya Ruge

    Mwanamuziki ili utoboe lazima uwe na vitu vinne sahihi. Ambavyo havina ‘eksichuzi’ kwenye sanaa yako kwa dunia ya sasa. Dunia hii ya intaneti siyo ile ya Issa Matona wala Hemed Maneti. Ipo kasi...

  7. Kibajaji, Msukuma wataka Dk Bashiru aachie ngazi

    Ikiwa siku moja baada ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana (UVCCM) kumkia aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Ally Bashiru, wabunge wa chama hicho pamoja na wakulima wamemtaka kutafakari kauli...

  8. Ndani ya boksi: Njaa inaua vipaji na kuzalisha chawa mjini

    Diamond. Hivi sasa anazalisha zaidi chawa kuliko vipaji. Wanamuziki walioondoka pale ‘Usafini’, nafasi zao zimejazwa na machawa. Yaani vipaji vinazibwa na machawa. Kwa nini? Endelea kusoma andiko...

  9. Ndani ya boksi: Ney wa Mitego atupwe selo tu! Tumemchoka...

    Ni hivi. Kuna dada muda huu yupo hospitali akiongea kwa siri na daktari amtoe mimba. Na dada mwingine yupo chumba cha pili akiomba daktari amsaidie, kwani ni mwaka wa saba huu hajapata mtoto. Na...

  10. Polisi yaanza uchunguzi tukio la mtoto kuuawa kwenye mahafali

    Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limeanza uchunguzi wa tukio la mauaji ya mtoto, Ibrahim Shakiru (16) likidai aliuawa kwa kipigo kutoka kwa wananchi waliomkuta na panga kwenye mahafali ya kidato cha...

Previous

Page 2 of 10

Next